Nimepitia threads mbali mbali za vijana wa mikoani(vijijini) wakijinasibu kwa kula vyakula vigumu, eti vinatia nguvu (!?) ikiwemo za kiume huku wakitulalamikia eti wanaume wa Dar hatuna nguvu(wanaolalamika wanaume lakini) wana insist chakula cha chips.Dar kuna vyakula vingi mfano ugali sembe,pilau,wali,biriani,pweza,samaki,ngisi,chapati,kahawa,chips,kuku,mayai,dagaa kamba,matembele,sukuma wiki,mnafu n.k. Amini nakwambia kama uko kijijini unashindia michembe,kichuli,dagaa,fulu,mbege,komoni na kende za mbuzi toroka uje mjini ufaidi maisha.Toroka haraka uje mjini..
1.Vyakula vya Mjini
View attachment 375084
pilau
View attachment 375085 View attachment 375087
Pweza na supu yake na limao pembeni
View attachment 375088
viazi vya kuaanga/chips
View attachment 375089
biriani
View attachment 375090
kabab
View attachment 375092
mishikaki
View attachment 375093
Samaki wa baharini aina ya ngulu,tango na kitunguu
View attachment 375094
ugalu samaki
VS
2.Vyakula vya kijijini
View attachment 375095 View attachment 375098
ugali wa udaga
View attachment 375101
Dona,bamia,mwziwa
View attachment 375102
Michembe