Total yatoa fursa vituo vya COCO na CODO kuzigeuza DODO! Kuwa umiliki kituo cha mafuta cha total

Mkuu p. Ahsante kwa kuyaumbua mazuzu .
 
Kusema kweli siku hizi huwa mara nyingi nikisoma unachoandika najiuliza hivi kina ukweli kiasi gani? Kina manufaa kweli au najipotezea muda tu?
Maswali yangu hayo yanatokana na fact kwamba siamini tena watu wa aina yenu (makada) na hasa pale ninaposhuku kwamba ni makada maslahi tu!
 


MKUU LEO NDO NIMEGUNDUA PASCAL MBABAISHAJI MASWALI HAYA KAYARUKA KWASABABU YANA UKWELI MTUPU ANGALIA BIASHARA YA NDEGE NDO KINAENDA KUTOKEA KWENYE MAFUTA PASCALLLLLLLLLLLLLL JIBU HAYA MASWALIIIII
 
Hongera balozi wa Total kwa ufafanuzi mujarabu.

Kumbe inawezekana nikachukua kituo kimoja cha total mf kile cha Mlimani city? Halafu hivyo vingine nikawaachia watqnzania wenzangu
 
Royal Dutch Shell ni kampuni ya mafuta ya tatu kwa ukubwa duniani na inamilikiwa na Uingereza na Uholanzi na makao yake makuu yako Uholanzi.

Nina mashaka kama hii kampuni ndio iligeuka na kuwa Puma, nafikiri hiyo Puma ndio ilikuwa ni PB kwa maana ya British Petroleum.

Baada ya serikali kutaka kufanya biashara ya mafuta hakuna kampuni yoyote binafsi itakayokuwa tayari kubakia kwenye hii biashara kwani ushindani haitaweza kuwa huru na haki.

Kwa kipindi chote ambacho serikali hii itakuwa mamlakani mambo ya uwekezaji yatazidi kudumaa sana na uchumi wa nchi kwa ujumla. Sera za uwekezaji katika nchi hii sio rafiki tena.
 
Paschal program ya DODO Total bado IPO na inafanya KAZI au ilifika ukomo wake?
 

Happy Valentine's day!.
Totalenegies kama kawaida yao, pita jaza ujazwe!.
Kwa watu wa bagamoyo rd, mambo yote totalenegies Oyster Bay Service Station.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…