Toto afya kadi yarejea usajili mtoto mmoja Tsh 150,000 na wale wa makundi Tsh. 50,400

Toto afya kadi yarejea usajili mtoto mmoja Tsh 150,000 na wale wa makundi Tsh. 50,400

Bima ya Afya ya Taifa wamezindua vifushi vipya ambapo kubwa ilikuwa ni kilio cha watanzania kuhusu toto afya kadi ambayo ilifutwa awali na kwasasa usajili utakuwa kama ifuatavyo

kama unataka kumsajili mtoto wako ambae sio mwanafunzi utalazimika kulipa kiasi cha shilingi laki moja na nusu kwa mwaka

mfumo wa pili utakuwa ni kwa makundi ambapo watasajili kwa kiasi cha shilingi elf hamsini na nne, watasajiliwa kupitia shule za awali msingi na sekindari

swali hivi Nhif wanaona shida gani kubakia na bei ya elf hamsini na nne kwa watoto wote kuliko huu usumbufu ..
Wakati wameindoa tulipolalamika tulitoa maoni kuwa hata wakiweka 100K- 150K tutatoa.

Hata hivyo 150K kwa watoto ambao hawako shule ni sawa kabisa. Kundi la watoto wa miaka mitano(5) kushuka chini wanaumwa mara kwa mara. Kwa mwaka kama ni cash unajikuta umetumia zaidi 500K kwa ajili ya matibabu pekee.
 
Pamoja na kulalamikia bei ya bima lakini wengi wetu tunajisajili au kusajili watoto wakiwa wameanza kuumwa,hilo ndiyo tatizo.

Hii ni kweli kabisa japo nilifikiri ipo haja ya kutafuta muarobaini wake BILA kuadhibu watu wote.....
Mfano: Mtu akilipia bima, ianze kuhesabiwa/kufanya kazi baada ya mwezi (siku 30). Hii ina maana mtoto akiumwa ukilipia Bima hutaweza kuitumia hadi baada ya mwezi (siku 30) ambapo wenye watoto wanajua kuwa; magonjwa ya kawaida ya watoto hupona kabisa ndani ya mwezi. Naamini kwa kufanya hivyo utakuwa umesha maliza tatizo la kusibiri mtoto augue ndio mzazi akate Bima
 
Bima ya Afya ya Taifa wamezindua vifushi vipya ambapo kubwa ilikuwa ni kilio cha watanzania kuhusu toto afya kadi ambayo ilifutwa awali na kwasasa usajili utakuwa kama ifuatavyo

kama unataka kumsajili mtoto wako ambae sio mwanafunzi utalazimika kulipa kiasi cha shilingi laki moja na nusu kwa mwaka

mfumo wa pili utakuwa ni kwa makundi ambapo watasajili kwa kiasi cha shilingi elf hamsini na nne, watasajiliwa kupitia shule za awali msingi na sekindari

swali hivi Nhif wanaona shida gani kubakia na bei ya elf hamsini na nne kwa watoto wote kuliko huu usumbufu ..
Hakuna afadhalii kabisaaa
 
Wakati wameindoa tulipolalamika tulitoa maoni kuwa hata wakiweka 100K- 150K tutatoa.

Hata hivyo 150K kwa watoto ambao hawako shule ni sawa kabisa. Kundi la watoto wa miaka mitano(5) kushuka chini wanaumwa mara kwa mara. Kwa mwaka kama ni cash unajikuta umetumia zaidi 500K kwa ajili ya matibabu pekee.
Watanzania twapenda kumbatia ujinga.
Mtu hajalazimishwa lipia afu analalamika,
 
Back
Top Bottom