Tottenham Hotspurs Thread

Aah, bwana wee, wamechakachua matokea ya kura zangu!.
Nipo mkuu, mambo hayaendi kama tulivyotaraji, si unajua tena. Sijui kwa ajili ya mechi mfululizo, maana zimekuwa nyingi lakini bado mapema tunaweza tukajirekebisha baadae.


ha ha ha! pole sana ndugu yangu. Haya, msiba wa wengi harusi, Spurs, Liverpool, Chelsea, Man Citeh wote nje...
Usipotee sana mkuu..
 
ha ha ha! pole sana ndugu yangu. Haya, msiba wa wengi harusi, Spurs, Liverpool, Chelsea, Man Citeh wote nje...
Usipotee sana mkuu..
Sawa mkuu nimekupata.
 
Mheshimiwa Mbu nikifanya vizuri kama leo uwe unanipongeza basi, ndio uanamichezo huo!
 
Shedafa,hongera sana,timu iko safi naona mvua za magoli zitakuwa nyingi tu,nadhani Mbu amesahau wajibu wake kuwa anatakiwa kusupply Oxygen kwenye hii forum,kuna Special thread kibao humu ziko anoxic,zinasuffocate!
 
Mheshimiwa Mbu nikifanya vizuri kama leo uwe unanipongeza basi, ndio uanamichezo huo!

ha ha ha, kwa mbaaali nbimesikia kama mmeshinda ;lakini sijui mmecheza na 'vibonde' gani! Hongereni bana... safi sana, hamvumi lakini mmo!

Shedafa,hongera sana,timu iko safi naona mvua za magoli zitakuwa nyingi tu,nadhani Mbu amesahau wajibu wake kuwa anatakiwa kusupply Oxygen kwenye hii forum,kuna Special thread kibao humu ziko anoxic,zinasuffocate!

...hawa wengine wanapumulia vipisi vya mabua! ha ha...
 
.........na kama refa angeisahau kidogo tu filimbi mdomoni, ingekuwa 4 - 4.....! What a come back!!
 
Huyu Gareth Bale tunamuandalia fungu la kutosha atue OT
 
Huyu Gareth Bale tunamuandalia fungu la kutosha atue OT
Gareth Bale ni balaa huyu!
tusubiri marudiano hapo white hart lane,spurs vs inter(Redknapp vs Benitez) Redknapp ameshamfunga sana Benitez white hart lane akiwa na liverpool,ila away nae anachapwa na Benitez
 
Gareth Bale ni balaa huyu!
tusubiri marudiano hapo white hart lane,spurs vs inter(Redknapp vs Benitez) Redknapp ameshamfunga sana Benitez white hart lane akiwa na liverpool,ila away nae anachapwa na Benitez

...mwakani habaki hapo, presha tupu!
 
...mwakani habaki hapo, presha tupu!
Prediction? Itategemea na hali ya mambo itakavyokuwa,bei yake itakuwa kubwa kuliko hata ile ambayo OT walishindwa kwa Ozil, Arsenal,rearly buys super stars, Chelsea has plenty of the likes.
 
Prediction? Itategemea na hali ya mambo itakavyokuwa,bei yake itakuwa kubwa kuliko hata ile ambayo OT walishindwa kwa Ozil, Arsenal,rearly buys super stars, Chelsea has plenty of the likes.
Ozil simply hakutaka kwenda Manchester United alichofanya Ozil ni kama alichofanya Benzema.
 
Huyu Gareth Bale tunamuandalia fungu la kutosha atue OT
Wachawi haoooo, utawaona tu!. Hivi hamna mahali pengine pa kupatia wachezaji mpaka tuwatafutie sie, hebu oneni aibu japo kidogo. Kila mzuri wenu!. Kwa taarifa yako safari hii haondoki mtu Spurs, ingieni porini mkatafute.
 
Wachawi haoooo, utawaona tu!. Hivi hamna mahali pengine pa kupatia wachezaji mpaka tuwatafutie sie, hebu oneni aibu japo kidogo. Kila mzuri wenu!. Kwa taarifa yako safari hii haondoki mtu Spurs, ingieni porini mkatafute.
Haha mkuu wacha hasira si unajua tuna ushirikiano mzuri kati yetu na yie ukizingatia Fergie na Harry ni marafiki wazuri tu kwa hiyo nyie endeleeni kuvumbua alafu mtuuzie wachezaji.
By the way hivi mnafikiria Van Der Vart angeuzwa kwa bei ambayo Spurs wamemnunulia kama Man Utd au Chelsea au Arsenal wangemuulizia ama bei ingepanda?
 



Spurs mpo vipi wonder boy? khe khe kheeeeeeeeeeeee
 
Shedafa pole, sikuangalia hii mechi huyo Bale alicheza?
 
Wera wera, Arsenal 2 Spurs 3. Wera wera, na mimi leo nifurahi ati ala!. Mnataka msimu uishe hata sina raha, wera wera!
 
Shedafa hongera sana, naona mmeodoa gundu la kufungwa na top 4.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…