Duuhh wadau leo kuna sherehe gani hapa............
Hawezi kuwepo hapa!Shedafa upo?.....
Nami leo nitalala vizuri sana hii ni moja ya timu nilizokuwa naziogopa sana, ushindi raha bwana. Bao 5!!!!!!!!!!Leo nitalala vizuri sana hii ni moja ya timu nilizokuwa naziogopa sana, ushindi raha bwana. Bao 5!!!!!!!!!!