klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,647
- 5,145
Tulieni nyinyi gooners, sisi fixture yetu ya sasa ni mteremko tu, tumebakisha na chelsea tu ndio tim ya maana na chelsea wenyewe kwasasa bora kucheza na majimaji ya songea. pale top three hatuganduki beleive u me. Usisahau tuna injuries piaHii timu inaweza isimalize ndani ya Top 4!