Tottenham Hotspurs Thread

Haya ngoja niifufue huu uzi, ingawa sina uhakika kama nasi tutavuma mwaka huu pamoja na usajili wa kufuru tuliofanya. Mheshimiwa Mbu rafiki yangu, ombi lako nimetimiza.

kaka una moyo kama mwosha maiti!
 
Haya ngoja niifufue huu uzi, ingawa sina uhakika kama nasi tutavuma mwaka huu pamoja na usajili wa kufuru tuliofanya. Mheshimiwa Mbu rafiki yangu, ombi lako nimetimiza.

Ahhhh Shedafa kaka, upo?
Saaaafi sana kwa kuufufua unyuzi huu...

Mpo sawa msimu huu,
Yule Spurs mwenzio klorokwini sijui kafia wapi!

Haya, msimu umeanza tupo pamoja kiongozi....
#Bale mmemuuza sijui nani atawatengenezea magoli msimu huu
 
Last edited by a moderator:
Ahhhh Shedafa kaka, upo?
Saaaafi sana kwa kuufufua unyuzi huu...

Mpo sawa msimu huu,
Yule Spurs mwenzio klorokwini sijui kafia wapi!

Haya, msimu umeanza tupo pamoja kiongozi....
#Bale mmemuuza sijui nani atawatengenezea magoli msimu huu
Kaka biashara nzuri ilikuwa ile, uoni tumepata wengine 5 kwa pesa hiyo hiyo!
 
nilikuwa napita tu humu jamii forum sikutaka kuwa member hata siku moja ila leo nikaona tottenham thread nikadata kwanza na kuchukua jukum la kuwa member wa jf fasta coz nimejikuta nna mapenz mazito na hii tim kwa siku nyingi na marafiki zangu wananicheka wananiambia ndo shabiki peke yangu wa spur tz nzima na leo napata wenzangu,
 
ONYO KWA ARShOLEs
huu ndo mwaka wa kuvunja miiko kwa spurs kaeni tyr na washaanza kwenye usajili mmeona
 
Last edited by a moderator:



Karibu sana JF. Wakaribishwa pia Darajani Stamford (The Pride of London) kuchangia hoja zako.
 
......wenye thread hii wanapumulia mashine tu....
Ushindi wa kubahatisha hata thread haina mshiko, heheheheh...
 
......wenye thread hii wanapumulia mashine tu....
Ushindi wa kubahatisha hata thread haina mshiko, heheheheh...

Hehehehe umeona ehh..

Mkuu shedafa katikati ya msimu anatelekeza thread .. Anakuja kuibuka wakishinda ..
 
Reactions: Mbu
Hehehehe umeona ehh..

Mkuu shedafa katikati ya msimu anatelekeza thread .. Anakuja kuibuka wakishinda ..
Ha ha ha ha!
Lakini mimi sijatia aibu kama jirani zangu jana, wamegeuzwa kama gunia la mazoezi. Vijana wangu leo wametupia 2 dhidi ya ANZI!
Karibu Ndaki Spurs wala hauko peke yako, tupo wengi tu, we perezi humu ndani utawaona nduguzo ila hatuna kelele. Hawa wote wanaopiga kelele ikifika jan wote hutawaona watajificha!
 
......mshaanza mambo yenu Shedafa,
Wenzio wapo wapi, weshakukimbia hapa!
 
Last edited by a moderator:
Teh teh nikiona ya everton ndio chakula nitachokula kitanitoka mdomoni kwa mshangao mpo wapi watani wenzangi wa everton na sie lfc tuna subiri thred yenu Kama arsenal walivyoishangaa hii, Shedafa nakuvulia Kofia kweli si lazima kupenda cha wengi.
 
Teh teh nikiona ya everton ndio chakula nitachokula kitanitoka mdomoni kwa mshangao mpo wapi watani wenzangi wa everton na sie lfc tuna subiri thred yenu Kama arsenal walivyoishangaa hii, Shedafa nakuvulia Kofia kweli si lazima kupenda cha wengi.
Na haya ndio mapenzi, no matter what. Unajua wengine wanafuata mkumbo, na si muda mrefu utawaona hasa wale wa upande wa Man U. Kusungwafungwa huku, watabaki wapenzi wa kweli.
 
ASTON VILA 0 - SPURS 2
Angalau leo nitalala vizuri!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…