..#Daaaaaddeki! mmemyuti kimyaaaaaa ..!vijana hawajazoeana vizuuri wale,timu ni nzuri saana...totenham tunabeba mzgoo,kwan sjaona tmu inayokuwa na kiwango kikuuubwa lyk tot.
Hahahaha!. Mwenye ubavu wa kusema wiki hii ni Livepool peke yake, wengine wote yamewakuta kama mimi. Hata hivyo sisi hatujasema tumo kwenye mbio za ubingwa, tunajua kocha wetu ni wa usajili si wa kuchukua kombe kama hujui waulize Chelsick!
nilikuwa napita tu humu jamii forum sikutaka kuwa member hata siku moja ila leo nikaona tottenham thread nikadata kwanza na kuchukua jukum la kuwa member wa jf fasta coz nimejikuta nna mapenz mazito na hii tim kwa siku nyingi na marafiki zangu wananicheka wananiambia ndo shabiki peke yangu wa spur tz nzima na leo napata wenzangu,
ONYO KWA ARShOLEs
huu ndo mwaka wa kuvunja miiko kwa spurs kaeni tyr na washaanza kwenye usajili mmeona
Wamepotea sana siku hizi. Nawasalimia tu...kumbe mpo? safi sana. Msimu huu mtajitokeza wengi sana, Man City weshajipendekeza pia hapa, ...msikimbie tu!
Gunnerz 4Lyf!
Wamepotea sana siku hizi. Nawasalimia tu
Poleni...ila mjipange sasa!! Sita mtungo si haba
Wow mwanzo mzuri, West Ham walikuwa moja ya wababe wetu msimu uliopita. Kupata point 3 kwake ni dalili za kufuta uteja msimu huu.
Go Spurs go!
Mkuu wewe kwa utoro tu umevunja rekodi, chacha jana mmeshinda, naona huyu ni kocha mzuri kidogo usitoroke tu tena ... ... .. ... .khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee