Mbu si umeona eeh, tunatisha, lakini uwanjani. Kuna wanaotisha kwenye pochi, unamnunua Di Maria mapesa yote haya si uchizi huu!
Di Maria huyu huyu au mwingine, kweli mtani kachemsha, lakini bora aende huko angekuwa yule babu angekuja kutubomolea timu yetu. Nendeni huko huko mkavunje rekodi ya pochi!
Di Maria hataisaidia Man U kupata kombe au top four msimu huu.
Hii timu ishakufa tayari
Wenyeji mpooooo
Taarifa kwa wadau!
TUNAFUKUZA MWIZI KIMYA KIMYA!