Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Spurs Si team ndogo mkuu ni sehemu ya mchezo Yale yaliyotokeaMkuu umemaliza
Tottenham ni timu ndogo sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Spurs Si team ndogo mkuu ni sehemu ya mchezo Yale yaliyotokeaMkuu umemaliza
Tottenham ni timu ndogo sana
Subiri mkuu mpira uwanjani na sioni mnapoenda kuwabahatisha hawa watoto Wa Portugal goal 5 usidhani ndio mmemaliza. Fc porto Si wale Wa kipindi lile hadi mkawafumua kiasi kile.
Katika robo ya UCL nyingi ndio mtaongoza kwa kutoka kwa aibu subiri mda
Naona unauzuni Sana kuwatoa pale juu kwenye msimamo Wa league. Si haba na unatamani Sana Kane apate injury kubwa kutokana na game ya Jana.
Liverpool ya Rqfael Benitez huwezi fananisha na liver mbovu ya kloop.Kilichobaki Ndiyo Hicho Kuishia Kuwa Mtabiri kama Mganga Wa Kienyeji.
Liverpool UCL Ni nyumbani pale na Ninaheshimika tofauti na wewe Msindikizaji ambaye Hata Fainali Hajawahi Kuinusa.
Liverpool ya sasa ya genge la wahuni unakuja kutamba kabisa hapa.Hii Ndiyo Sifa Ya Kitimu Kidogo Kama Cha Spurs Huwa Kinajisifia Kumpita Mtu tu Na Kwenda Kugawa Uroda UEFA CL Kwa wanaume! Kwahiyo kukamata Nafasi Ya Tatu Kwa Wiki Hii Kwako wewe Ni Sawa Na Kuwa Ubeba UCL.
Hongera Kwa Kombe lako la Top Four na Nafasi Ya Tatu.
Mimi Sihuzuniki Kwa Kupitwa na Kijispurs Kwani Ukweli usiofichika Ni Kwamba Mshinda Wa Kwanza Tu Ndiyo Mwenye Kombe! Lakini Wa Pili, Wa Tatu na Wa Nnne hawa Wote Sawa! Wanachoambulia Ni Kushiriki [HASHTAG]#UCL[/HASHTAG] tu! Hiyo Wa 2, 3 na 4 Ni mbwembwe tu.
Liverpool ya sasa ya genge la wahuni unakuja kutamba kabisa hapa.
Usajili Wa 75 kwa beki kwenu Yule mnahisi ndio mmekamilisha kikosi na kuwa team bora.
Hahahaha pole sana ndugu yangu hamna mnapoenda na mkikaa ovyo hata nafasi ya nne mnatapokonywa kwenye hizi game 9 zilizobaki
Hongera kamanda,
Asante sanaHongera kamanda,
Naona m'mewafanyia unyanyasaji wa kinjisia the blues.
Shukran za dhati zim'fikie Ali popote Alipo .Asante sana
Hawa bado watoto wadogo Sana wakikua ndio watutafute.
Subiri mkuu mpira uwanjani na sioni mnapoenda kuwabahatisha hawa watoto Wa Portugal goal 5 usidhani ndio mmemaliza. Fc porto Si wale Wa kipindi lile hadi mkawafumua kiasi kile.
Katika robo ya UCL nyingi ndio mtaongoza kwa kutoka kwa aibu subiri mda
Nimetulia Hapa Navizia News Kuhusu Harry Kane Kama Hajadai Kuwa Goli la Jana la Eriksen ni la Kwake lilimgusa kabla ya Kutinga Wavuni.