Mwishoni mwa msimu tutakushtua ukijifanya umeisahau hii comment yako.Spurs japo wanapata ushindi kwa tabu. Hawapo vyema sana namuona kwenye nafasi ya saba au Tisa msimu huu
Mourinho
Ihifadhi
5-3-2Hili bila shaka ni basi. Tena la mwendokasi.
Mwendo wa 3-5-2View attachment 1366132
Sent using Jamii Forums mobile app
Mournho ataiharibu hiyo timu na atatumia mipesa kibao kusajiri dirisha lijalo
naona basi lime -Wrong turnHili bila shaka ni basi. Tena la mwendokasi.
Mwendo wa 3-5-2View attachment 1366132
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye mkataba wake aliambiwa bayana hakuna wachezaji wapya, sana sana atapata replacement kwa wanaoondoka. Pia Spurs siyo timu ya matumizi makubwa.Mournho ataiharibu hiyo timu na atatumia mipesa kibao kusajiri dirisha lijalo
Spurs naona haipo vizuri kabisa tangu special one hatue