Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kukosekana kwa tobby kumenipunguzia confidence
Haya haya kumekucha
Shida leo huyu dogo anachezeshwa kulia hivyo inampa shida kugeuka. Ngoja tuone itakuwaje.Dier anatosha kabisa mkuu ondoa shaka pia huyu dogo Rodon nimeona mechi zake chache alizocheza anajiamini sana.
Ngoja tuone leo pia ata-deliver kitu kizuri na imani hiyo.
Naona mmekaa kimya!Aaahwapi mkuu. Tunaenda kuwaongezea maumivu
Ulikimbia man U au?Kati mechi niliyodhani tunapoteza ni hii, partnership ya Dier na Rodon naye nilikuwa na mashaka nayo.
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Hamna kitu pale sijui mliwafungaje Man City.
Jana hatukuwa effective kwa sababu ya udhaifu wa CD yetu. Hivyo Hojbjerg ikabidi akae mbele yao muda wote kuwakingia kifua. Hii ndiyo sababu midfield yetu ilikufa kabisa.Hamna kitu pale sijui mliwafungaje Man City.
Tunahitaji beki mmoja na mshambuliaji mwingine mmojaNaiona timu ya ushindi imetengenezwa na the special one
Mkuu labda useme beki. Ila washambuliaji wapo wengi tu mbona wazuriTunahitaji beki mmoja na mshambuliaji mwingine mmoja
[emoji23][emoji23][emoji23]...Kumbe upo rasmi spurs..kilichokuwa kinakufanya ujifiche kwenye kichaka cha kuwa united huku ukipinga Mourinho kufukuzwa ni nini?Tunahitaji beki mmoja na mshambuliaji mwingine mmoja