Tatizo D sanchez mapepe sana. Hachelewi kuplay against us. Phil jones wa spurs.Kwa nini D Sanchez kakaa kati kwenye back 3 na kamweka benchi Toby? D Sanchez ndiye beki wetu mwenye kasi zaidi anayeweza kimbizana na akina Troure na Neves dakika 90.
Jose ni taasisi ya ukocha na Levy akimpa anachotaka atamkabidhi vikombe vyote anavyotaka.
Sanchez naye hakawii kuchomesha, huwa simwamini kivile. Ila Tottenham waboreshe hizi beki naona siyo solid vya kutosha.Kwa nini D Sanchez kakaa kati kwenye back 3 na kamweka benchi Toby? D Sanchez ndiye beki wetu mwenye kasi zaidi anayeweza kimbizana na akina Troure na Neves dakika 90.
Jose ni taasisi ya ukocha na Levy akimpa anachotaka atamkabidhi vikombe vyote anavyotaka.
Katupotezea pointi huyu mzee na basi lake.Kama kawaida dakika 10 za mwisho za mou
Sijui ana matatizo gani huyu mzee. Anapenda kupack basi sijui kwanini. Sielewi kwanini alimtoa ndombele. Hata watangazaji walishangaa kumtoa ndombele.Katupotezea pointi huyu mzee na basi lake.
Uko sahihi [emoji817]Kwanini mnafungika sana dakika za 80+
West Ham alirudisha gori 3 hizo dakika
Crysta Palace alisawazisha hizo dakika
Liverpool aliwafunga hizo dakika
Lecister aliwafunga hizo dakika
Leo, wolves kawanyanganya Point hizo dakika
Nimegundua kitu
Beki za Spurs zunakuwaga hoi sana, dakika hizo
Mbinu za morhino kupaki basi dakika zote 90 min, atakuja kuiona League ngumu
Hatakuja kuamini, timu nying zimeshamsoma
Wakipress kwa nguvu, dakika za 80 Spurs unaweza mpiga hata gori 5
Hahahahahah[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jose Mourinho : " I think if Tottenham wins the premier league the pain to all TV Pundit will be greater than the pandemic. They always criticize my style of play. But I have more than 25 Trophies in my life and they have only TV cameras "
Jose for you.
Noma sana mzazi. Mzee ana maneno hatari[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Ila pamoja na kutukera kwenye game kadhaa zilizopita ukweli ni kwamba ulimwengu unatarajia makubwa mno kutoka kwa Jose. Mwaka mmoja tu tena na kikosi kisicho na balance kama kile analaumiwa kwa kushindwa kuwafunga Liverpool Anfield, Wolves nyumbani kwao, droo na Chelsea iliyosajili dunia nzima darajani!Hahahahahah[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Jose ni mzuri, shida ni kuna wakati ana defend hata kwenye vimechi vya kawaida. Hizi timu za kawaida ni kushambulia mwanzo mwisho, kwa zile timu kubwa ndio kucheza kwa tahahadhari kubwa.Noma sana mzazi. Mzee ana maneno hatari[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Ila pamoja na kutukera kwenye game kadhaa zilizopita ukweli ni kwamba ulimwengu unatarajia makubwa mno kutoka kwa Jose. Mwaka mmoja tu tena na kikosi kisicho na balance kama kile analaumiwa kwa kushindwa kuwafunga Liverpool Anfield, Wolves nyumbani kwao, droo na Chelsea iliyosajili dunia nzima darajani!
Hapo anangalia Klopp alipata nini miaka minne ya kwanza tena akiwa na kikosi bora duniani. Angalia Pep msimu wa kwanza alifanya nini pale City akiwa na first eleven mpya.
Jose ni taasisi ya ukocha.
Just: Hahaaa.... The Jose I know...Jose Mourinho : " I think if Tottenham wins the premier league the pain to all TV Pundit will be greater than the pandemic. They always criticize my style of play. But I have more than 25 Trophies in my life and they have only TV cameras "
Jose for you.
Prof. aliyefungwa 6 na Man Utd??Leo mnakutana na profesa wa mpira wa miguu. Marcelo Biesla.
Professor kanasa kwenye mtego mbovu. Atachuchumaa sana leo. Ana vituko kweli huyu kocha kwenye touchline.Leo mnakutana na profesa wa mpira wa miguu. Marcelo Biesla.