Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,215
- 3,076
Huyu kipa City ananikumbusha Fabianski lol.Wenger upozz..Bwa ha ha ha
Come Spurs! Take that fourth place, it's all yours!
hawa jamaa wataongea sana hawa wamefika champions league.sema wote sawa muache adebayor acheze europs huko.
They are looking for 3rd place, don't they?
'the special one' kisha fanya mambo yake kule Italy, anasubiri CL title.
Jumapili sasa jamani, Arsenal mkizembea Fulham watawalambisha na Spurs watawatandika Burnley bila shaka, come on Chelsea mtatuachia ubingwa wetu au? hahaha let us wait.