Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni Kama maharage lazima ya anze kuluka Luka ndio kuivaa kwake nadhani umejionea kandanda mkuuJuv 2-0Tot dak ya 10
Ni uwezo hatutegemei refa na Turin tumemlindia heshima tunamsubiri wembleyYule refa aliyewasaidia juzi leo yupo?
Refa ni wa nani? na nani amekoma? maana kutoka kufungwa 2 bila mpaka 2-2, inamaana droo ya 0-0 tot kapita droo ya 1-1 tot kapita droo ya 2-2 extra time, kiufupi mwenye asilimia kubwa ya kuvuka ni TOT.Refa leo sio wenu na mtakoma
Sana mkuu,,vijana wameonesha kandanda safi sana,,, wamefungwa mapema lkn hawakupanikNi Kama maharage lazima ya anze kuluka Luka ndio kuivaa kwake nadhani umejionea kandanda mkuu
amazing performance toka Tottenham,,, mababu Leo wamepoteana,,, kwa mpira huu wa Juventas,,, Wembley watakufa mapema tu
EPL inazid kung'araheshima kwa toto
Hueleweki.mmebebwa na stupid italian defensive mentality.
Wakiamua kushambulia kama zile dk za mwanzo,hata kwenu Wembley watawakalisheni.
Juve wataamua mechi wenyewe,washinde au wafe,muombe Mungu huu upuuzi wao wa kitaliano walioonyesha jana waufanye tena,hasa wakitangulia kufunga.
Nadhani umeanza kuangalia game za spurs hii hatua ya 16 bora Ila hujajua ubora wa spurs we subiri mkuu hadi final tupo Ila hatuvumi.mmebebwa na stupid italian defensive mentality.
Wakiamua kushambulia kama zile dk za mwanzo,hata kwenu Wembley watawakalisheni.
Juve wataamua mechi wenyewe,washinde au wafe,muombe Mungu huu upuuzi wao wa kitaliano walioonyesha jana waufanye tena,hasa wakitangulia kufunga.
To dare is to Do.heshima kwa toto