Tour campsite: Watu wanne walio serious tuanze hii biashara

Dah mm nilianza kufikilia hii biashara tangu mwaka Jana october nashindwa kuchukua maamuzi na kama ningekuwa na pesa basi hata kesho tunaenda kuitengeneza business plan. Ila kama umepata partner nakutakia mafanikio mema kwa sababu huku kuna pesa.
 
Tunahitaji kujoin group lipo revoked...hatuhitajiki tena au?
 
Reactions: 365

Weka mambo vizuri/Funguka zaidi ni nini kinachohitajika, Mimi nimebobea kwenye fani ya utalii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…