Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Deal ni zuri ila hela ikishaanza kuingia lazma kutokee mvurugano. Ila kwa sasa wana mawazo mazuri sana, shida hizo dollar 50 per kichwa zikianza kuingia sasa! Lazma mmoja ajione anapunjwa!!!
Atleast wangekuwa wawili