Tour fupi ya shamba langu la greenhouse


Kuhusu kujenga greenhouse katika eneo la makazi ya watu, cha msingi ni kuhakikisha tu usalama unapatikana


  1. kwa dar ni mil. 3 sasa sijui kwa kigoma ni kiasi gani
  2. gh inayotosha eneo lote na kujaa ni mil 15.6
  3. Mil 18 kwa mwezi na utaendelea kuvuna kwa miezi nane
 
Kuna mahali umesema maji ya chumvi sio mazuri, nina kisima kiko Kisarawe na kina chumvi kidogo na nilikua najipanga kutumia maji hayo kwa umwagiliaji wa mboga mboga na matunda. Hebu nisaidie kwa nini hayafai? Ni kwa baadhi ya mazao tu au hata mchicha, bamia n.k?
 

Maji ya chumvi hufanya mazao yako yawe madogo. Kama unategemea nyanya zako ziwe kubwa km za kwenye hiyo video yangu basi maji ya chumvi yatakuangusha. Unachoweza ni kufanya ni kuchanganya na maji yasiyo na chumvi nusu kwa nusu ns hii inasaidia
 
Nashukuru sana bw Biashara2000 kwa mafunzo uliyonitumia siku ile na kesho yake tu nilipanda zile mbegu. Baanda ya siku tatu miche ikatoka na nikapulizia ile mbolea ya Polyfeed, bwanawee ni noma, maana ndani ya siku tatu tu miche ikafika urefu mpaka magotini. Sasa naanza kuweka zile fito nyembamba km za kwenye video yako ila ntaomba msaada wako kidogo. Ntakupigia kaka usinichoke
 
Usijali kaka julioo maana kwa mafunzo niliyokupa umepata ushauri wa bure kwa kipindi mpaka utakaposimamisha miche
 
Mkuu hata kutaja iyo mbegu unayotumia nayo inabidi tukutumie ako ka elfu ishirin?
 
Ngoja nikushauri. Hako ka elfu ishirini kako mbona unaweza tu kafanyia kazi tu na ukapata mafanikio tu. Nunua mbegu inaitwa Tanya inauza 5,000 na dawa ya megacine then anza kulima kaka. Mbona inakutosha sana


Mimi niko maeneo ya horohoro mkoani Tanga mpakani kwenda Mombasa, nimechimba lambo hivyo ninatumia maji ya mvua ninayovuna wakati wa mvua nyingi, je mbegu yako inafaa eneo hilo?
 
Mimi niko maeneo ya horohoro mkoani Tanga mpakani kwenda Mombasa, nimechimba lambo hivyo ninatumia maji ya mvua ninayovuna wakati wa mvua nyingi, je mbegu yako inafaa eneo hilo?

Inafaa katika eneo lako pia
 
Ngoja nikushauri. Hako ka elfu ishirini kako mbona unaweza tu kafanyia kazi tu na ukapata mafanikio tu. Nunua mbegu inaitwa Tanya inauza 5,000 na dawa ya megacine then anza kulima kaka. Mbona inakutosha sana

mkuu sijaelewa kitu hapo, hiyo Tanya ndio mbegu unayotumia hata wewe kwenye hiyo greenhouse yako?? mana nijuavyo Mimi Tanya sio hybrid...
 
Ngoja nikushauri. Hako ka elfu ishirini kako mbona unaweza tu kafanyia kazi tu na ukapata mafanikio tu. Nunua mbegu inaitwa Tanya inauza 5,000 na dawa ya megacine then anza kulima kaka. Mbona inakutosha sana

mkuu sijaelewa kitu hapo, hiyo Tanya ndio mbegu unayotumia hata wewe kwenye hiyo greenhouse yako?? mana nijuavyo Mimi Tanya sio hybrid...,
 
mkuu sijaelewa kitu hapo, hiyo Tanya ndio mbegu unayotumia hata wewe kwenye hiyo greenhouse yako?? mana nijuavyo Mimi Tanya sio hybrid...

Kuna watu wengi wananipigia wakisema kuwa hawana uwezo wa kulima kilimo cha kisasa. So huwa nawapa ushauri wa bure ili nao waweze kulima na kupata mapato kwa mtaji wa chini ya 15000 na hichi ndio nimekiongelea hapo kwamba unawezatumia tanya.
 

Naomba kujua hii green house ni kwaajili ya Kilimo cha nyanya tu?.
 
Last edited by a moderator:

Good idea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…