Tovuti 334, akaunti za Facebook 361, Instagram 198 zafungiwa kwa kutangaza Mapenzi ya jinsia moja

META wanalinda policy zao.. mojawapo ni haki za hawa jamaa
 
Kwa kweli Mungu ni hakika atakuwa upande wetu kwenye hii vita. Tuwaombee sana viongozi wetu Mungu awape ujasiri wa kusema HAPANA kwa ushenzi huu wa ndoa za jisia moja toka nchi za magharibi!!.
 
Iko namna!! Kama vipi tufungie hizo tovuti za facebook, twitter na instagram! Maisha yetu hayategemei mitandao hiyo!
 
Iko namna!! Kama vipi tufungie hizo tovuti za facebook, twitter na instagram! Maisha yetu hayategemei mitandao hiyo!
Hii inawezekana na pia wananchi wapigwe marufuku kutumia VPN or deep web.
Korea ya kaskazini ukigundulika umedownload VPN ni jela
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…