Tovuti ya Tigo Tanzania yadukuliwa, wadukuzi wadai malipo (Ransom) ili waiachie

Tovuti ya Tigo Tanzania yadukuliwa, wadukuzi wadai malipo (Ransom) ili waiachie

Mnawapa credit za bure wairan na wakorea. Hushpuppy ni Mnaijeria na alitajirika kwa kazi hiyo, sema tu alianza kujionyesha mno mitandaoni
Unafikiri alikuwa peke yake au na wenzie walikuwa wote wanaijeria?
 
Kuna mambo si vema kuyajadili hapa kwa sababu za kibiashara na nyinginezo nyeti.
Bora niwe mpole tu, lakini amini nakuambia there was and there is more than DDoS, hiyo DDoS is what ordinary people notice easily.

Wakati wa ugonjwa flani miezi ya karibuni watu wamedukuliwa sana kiasi kwamba hao waduakuaji wangetaka ku-hijack hizi website na device zenu wangefanya hivyo kirahisi tu kama kunywa chai.

Wadukuaji wa kweli wakitaka kudukua hakuna website ya kibongo ya kuwazuia kufanya hivyo, Tigo ni kwamba imetokea tu kwao wawe wa mfano mahali pa hackers kuonesha umahili wao.

Mwananchi walidukulwa siku hizo za ugonjwa wa mafua makali na hackers wakaacha ujumbe wao kwa kiingereza broken. Tigo is just another victim tu, wakenya wa daily nation walishindwa kulinda tovuti ya gazeti la mwananchi.
Unacho ongea ni sahihi, lakini nilichokuwa namaanisha hujakilewa. Nilarudi tigo ni wazembe, na sio kwamba wamezidiwa. Ukitafakari hapa utapa point yangu, ila kama unasoka juu juu, hatuto elewana
 
Kuna mambo si vema kuyajadili hapa kwa sababu za kibiashara na nyinginezo nyeti.
Bora niwe mpole tu, lakini amini nakuambia there was and there is more than DDoS, hiyo DDoS is what ordinary people notice easily.

Wakati wa ugonjwa flani miezi ya karibuni watu wamedukuliwa sana kiasi kwamba hao waduakuaji wangetaka ku-hijack hizi website na device zenu wangefanya hivyo kirahisi tu kama kunywa chai.

Wadukuaji wa kweli wakitaka kudukua hakuna website ya kibongo ya kuwazuia kufanya hivyo, Tigo ni kwamba imetokea tu kwao wawe wa mfano mahali pa hackers kuonesha umahili wao.

Mwananchi walidukulwa siku hizo za ugonjwa wa mafua makali na hackers wakaacha ujumbe wao kwa kiingereza broken. Tigo is just another victim tu, wakenya wa daily nation walishindwa kulinda tovuti ya gazeti la mwananchi.
"there was and there is more than DDoS, hiyo DDoS is what ordinary people notice easily."

kuna watu walidhani mambo yaliishia hapo tu. Hebu fikiri unakutana na pm 48 ukifungua hukuti chochote alafu unambie data zilikua salama?

hapana nakataaaaaa
 
haya ni mambo ya aibu. aibu inaenda mbali zaidi kwa it department. watumbuliwe
 
Wamelipa au wamepambana tu kiume? Naona wamerudi hewani
 
Back
Top Bottom