jonas amos
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 3,645
- 4,438
Ulimwengu was ICT hakuna mtaalamu kuzid kila kukicha watu wanagundua mbinu mpya na ndo mana mpaka website ya selikal ya USA ilidukuliwaHii haihalalishi Tigo Kudukuliwa
You mean kuwa na exposure na masuala ya ICT ni kutojua kuwa kudukuliwa ni uzembe? Ndio maana watu wanasoma Cyber Security.
Kampuni pia apple Kuna simu ilidukuliwa na dogo akadakwa