Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Hao Tigo hata backup ya kuanzisha system nyingine wanayo?
Maana hapa kuna kuna disaster recovery na business continuity.
Ina maana wamepigwa mpaka DR servers? Au hawana DR servers?
In any case. Kuwalipa hao watu kutawapa kichwa na mtaji wafanye huo ushenzi wao zaidi tu.
Wajipange kuwapotezea na kuendelea upya kama wabongo walivyoipotezea Corona.
Maana hapa kuna kuna disaster recovery na business continuity.
Ina maana wamepigwa mpaka DR servers? Au hawana DR servers?
In any case. Kuwalipa hao watu kutawapa kichwa na mtaji wafanye huo ushenzi wao zaidi tu.
Wajipange kuwapotezea na kuendelea upya kama wabongo walivyoipotezea Corona.