Tovuti ya Tigo Tanzania yadukuliwa, wadukuzi wadai malipo (Ransom) ili waiachie

Tovuti ya Tigo Tanzania yadukuliwa, wadukuzi wadai malipo (Ransom) ili waiachie

Hivi kweli ndo wanashindwa kuirudisha sipati picha IT wanavyohangaika huko ofisini
 
Katika ulimwengu wa IT kama ukiwa mvivu wa kusoma lazima utaambuka.

Haya maswala ya Cybersecurity kila siku kuna technique mpya za kuattack kama ukiwa mtu wa kurizika ukipata kazi tena ndio basi hujisomei unaona umemaliza lazima kwenye field yako utaonekana shallow,mwisho wa siku ndio unawapa mwanya ma-Black hat wakushambulie.

Na ajira zenyewe hizi za kujuana ktk taasisi binafsi aka "kamlete atajulia huku huku",Tasisi nyingi binafsi kila siku wataendelea kuumizwa.
 
Site za kibongo karibia zote unaweza angusha muda wowote ukijisikia, hatuziangushi sababu tu tunaona hazina faida yoyote ile.
Hawa jamaa inabidi wanilipe niwatengenezee website ambazo hazichakachuliki kirahisi, ukweli site karibia zote za bongo security ni zero.
 
Hii haihalalishi Tigo Kudukuliwa

You mean kuwa na exposure na masuala ya ICT ni kutojua kuwa kudukuliwa ni uzembe? Ndio maana watu wanasoma Cyber Security.

Jamaa mjuaji kweli wa IT
 
Kuna mwana IT expert kijana wa Sud Africa aliingiza information zake taasisi flani ya serikali kama mfanyakazi na akawa analipwa mshara wakati yeye simfanyakazi.
Dunia ikiwa na watu watata ndo itazidi kusonga mbele.
Huyu kijana nilimsikia kama walimuajiri hivi au nimekosea
 
Kwa hiyo leo tunaweza kuoa pesa kwa tigo pesa na hata kama huna salio.ikatoka eee
 
Kuna mwana IT expert kijana wa Sud Africa aliingiza information zake taasisi flani ya serikali kama mfanyakazi na akawa analipwa mshara wakati yeye simfanyakazi.
Dunia ikiwa na watu watata ndo itazidi kusonga mbele.
unajiajiri bila ajira[emoji23][emoji23][emoji23]
Jamaa si adukue vifurushi agawe Gb 50 kwa kila mtumiaji
 
1597910069047.png


Jamaa wanataka kulipwa Bitcoin 300
 
Ndo maana jana simu zenye access ya 4G+3G zilikua zinasumbua kutoka
 
Back
Top Bottom