Tovuti ya Tigo Tanzania yadukuliwa, wadukuzi wadai malipo (Ransom) ili waiachie

Mnawapa credit za bure wairan na wakorea. Hushpuppy ni Mnaijeria na alitajirika kwa kazi hiyo, sema tu alianza kujionyesha mno mitandaoni
Unafikiri alikuwa peke yake au na wenzie walikuwa wote wanaijeria?
 
Unacho ongea ni sahihi, lakini nilichokuwa namaanisha hujakilewa. Nilarudi tigo ni wazembe, na sio kwamba wamezidiwa. Ukitafakari hapa utapa point yangu, ila kama unasoka juu juu, hatuto elewana
 
"there was and there is more than DDoS, hiyo DDoS is what ordinary people notice easily."

kuna watu walidhani mambo yaliishia hapo tu. Hebu fikiri unakutana na pm 48 ukifungua hukuti chochote alafu unambie data zilikua salama?

hapana nakataaaaaa
 
haya ni mambo ya aibu. aibu inaenda mbali zaidi kwa it department. watumbuliwe
 
Wamelipa au wamepambana tu kiume? Naona wamerudi hewani
 
Inamaana kwa sasaivi haturuhusiwi kutumia tigo pesa ama
Tigo Simu au Tigo nini mkuu?
Kama ni tigo- mtu, le ni maelewano tu, mkiafikiana bei unatumia tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…