Toyota Altezza Gita (Wagon) Thread: Karibuni tujuzane ubora na udhaifu wa gari hizi

Toyota Altezza Gita (Wagon) Thread: Karibuni tujuzane ubora na udhaifu wa gari hizi

3S-GE ina nguvu sawa na 4GR-FSE ya mark X ...kile ki 1G hakuna kitu

ukija kwenye JZ engine series una hizi natural aspirated nakuna zile gte na get zenyewe ni turbo charged

sasa hizi 1JZ-FSE I6 2.5 na 2JZ-FSE I6 3.0 ni natural aspirated hazili mafuta sana na hazina tofauti ya ulaji wake

balaa lipo kwenyw hizi turbo charged 1JZ-GTE I6 2.5 turbo na 2JZ-GTE I6 3.0 turbo hizi ni more powerful wit huge room for mods and tuning zinakula mafuta balaa hizi
inaonekana 2JZ GTE ndo mnyama mkali kwa upande wa altezza
 
Kweli kabisa. 1G ni smooth tu vile ni inline 6. Ila 3S ina nguvu zaidi. Hizo turbocharged zinafaa saana kama unaendesha gari for fun. Ni umasikini tu unatusumbua, ila kuendesha gari lenye nguvu kuna raha yake aise
lazima nimpate huyo mnyama turbocharged 2JZ GTE
 
Kweli kabisa. 1G ni smooth tu vile ni inline 6. Ila 3S ina nguvu zaidi. Hizo turbocharged zinafaa saana kama unaendesha gari for fun. Ni umasikini tu unatusumbua, ila kuendesha gari lenye nguvu kuna raha yake aise
mzee altezza ipi yenye nguvu unaikubali?bila shaka ni turbocharged 2JZ GTE
 
powerseats na seat heaters ndo nini mzee?
Powerseats ni seats ambazo unafanya adjustment kwa button ya umeme. Unagusa button seat inasogea au kulala. Sio zile za kuvuta chuma fulani kama nondo hapo mbele ya seat ili kuisogeza.

Seat heater unagusa button seat inapata joto. So wakati wa baridi angalau unakalia seat yenye joto.
 
unamaanisha nini unaposema altezza inafurahisha kuendesha?
Ni sport saloon. Yaani walivyoitune kuanzia gearbox inavyobadilisha gia, suspension system, tairi, seat ya dereva, uzito wa steering, ukiendesha unapata burudani. Unajisikia uko connected na gari na barabara. Hasa barabara yenye kona kona. Ni tofauti saana na saloon nyingine kama kina Premio na nyingine.
 
Ni sport saloon. Yaani walivyoitune kuanzia gearbox inavyobadilisha gia, suspension system, tairi, seat ya dereva, uzito wa steering, ukiendesha unapata burudani. Unajisikia uko connected na gari na barabara. Hasa barabara yenye kona kona. Ni tofauti saana na saloon nyingine kama kina Premio na nyingine.
suspension ya altezza ipoje? vipi kwenye ile kunesa nesa?
 
Ni sport saloon. Yaani walivyoitune kuanzia gearbox inavyobadilisha gia, suspension system, tairi, seat ya dereva, uzito wa steering, ukiendesha unapata burudani. Unajisikia uko connected na gari na barabara. Hasa barabara yenye kona kona. Ni tofauti saana na saloon nyingine kama kina Premio na nyingine.
thank you for the information
 
Saloon RS200 yenye engine ya 3S GE ina nguvu ya kutosha. Hasa manual nafikiri ni 210hp. Inakaribiana na yenye 2JZ yenye 215hp. Ila yenyewe mafuta inatumia vizuri zaidi.
2JZ ukiongezea turbocharger mbili hapo horse power inaweza ikaongezeka hata kwa 300 hp
 
Ni sport saloon. Yaani walivyoitune kuanzia gearbox inavyobadilisha gia, suspension system, tairi, seat ya dereva, uzito wa steering, ukiendesha unapata burudani. Unajisikia uko connected na gari na barabara. Hasa barabara yenye kona kona. Ni tofauti saana na saloon nyingine kama kina Premio na nyingine.....
BH336040_54dd96.jpeg
 
Ni sport saloon. Yaani walivyoitune kuanzia gearbox inavyobadilisha gia, suspension system, tairi, seat ya dereva, uzito wa steering, ukiendesha unapata burudani. Unajisikia uko connected na gari na barabara. Hasa barabara yenye kona kona. Ni tofauti saana na saloon nyingine kama kina Premio na nyingine.
una maoni gani kuhusu Supra.hii nimeona engine code wameweka ni 2JZ nadhani ndo ile ile 2JZ GE.(nirekebishe kama nimekosea hapo).cc ni 2990 ila wheel drive wameweka dash sijaelewa wamemaanisha nini.cheki hapo chini
BH336040_2b4b1d.jpeg
BH336040_70b32a.jpeg
BH336040_70b32a(1).jpeg
BH336040_d2f033.jpeg
BH336040_56cca2.jpeg
Screenshot_20200731-231200.jpeg
 
Back
Top Bottom