RugambwaYT
JF-Expert Member
- Jan 11, 2014
- 1,397
- 1,899
- Thread starter
- #221
Yes, kutoka kiwandani haina turbocharger. Bei nafikiri inategemea na aina ya kit unayoweka na fundi anayekuwekea. Kuna kits zinaanzia 2m 3m na kuendelea. Japo hizo za bei ndogo ni usumbufu.tu. Bora ubaki na 2JZso haiji na turbocharger toka kiwandani?kuweka turbo charger ni gharama kiasi gani?