Na wenye Carina Ti waseme nini? ha. Gari ni Carina Ti buanaYaani bila aibu unakuja kusifia toyota brevis? Uwe serious.unaona ni heshima kuwa na toyota brevis? Sasa na wenye magari nao waje waseme nini? Muwe serious...siyo mkinunua tu gari mnakuja kutupamba humu.na wenye magari wamenyamaza.
Unasifia toyota brevis na wamiliki wa BMW wamo, na wamiliki wa BENZ wamo humu, na wamiliki wa Range, Audi, Bentley, Escarade wamo wamenyamaza.
Haaahaaaa ..... Uwiiii[emoji23] [emoji23]Yaani bila aibu unakuja kusifia toyota brevis? Uwe serious.unaona ni heshima kuwa na toyota brevis? Sasa na wenye magari nao waje waseme nini? Muwe serious...siyo mkinunua tu gari mnakuja kutupamba humu.na wenye magari wamenyamaza.
Unasifia toyota brevis na wamiliki wa BMW wamo, na wamiliki wa BENZ wamo humu, na wamiliki wa Range, Audi, Bentley, Escarade wamo wamenyamaza.
Na wenye Maserati tunatakiwa kupita njia zipi?Hahahaha na sisi wenye Benz tunapaki wapi
Ungejaribu Kusoma kwa makini kabla ya kuandika pumba, nimesema Toyota Brevis na sijasema Toyota inashindana na BMW au zote ulizoandika, angalau uneandika BMW X3 ni sawa Toyota Brevis lakini siyo kugeneralize whole brand name kwa one make model, haya angalia hapo ujue brevis iko sambamba na bmw x3 BMW 325i xDrive vs Toyota Brevis Ai300Yaani bila aibu unakuja kusifia toyota brevis? Uwe serious.unaona ni heshima kuwa na toyota brevis? Sasa na wenye magari nao waje waseme nini? Muwe serious...siyo mkinunua tu gari mnakuja kutupamba humu.na wenye magari wamenyamaza.
Unasifia toyota brevis na wamiliki wa BMW wamo, na wamiliki wa BENZ wamo humu, na wamiliki wa Range, Audi, Bentley, Escarade wamo wamenyamaza.
Touareg haili wese kivile mkuu....Cc kubwa but fuel consumption ni moderateTafuta Tuareg kaka utaelewa maana halisi ya kula mafuta[emoji23][emoji23][emoji23] yale ni mashetani
itategemea na jinsiaNa wenye Maserati tunatakiwa kupita njia zipi?
Na nyingi ni za diesel, na ndo aina nayozungumzia kuwa ulaji wake ni kawaida tu....SBT hawana zinazotumia diesel ila BEFOWARD yamejaa kibao!Tuarage ni v8 bos inakula wese kama jini labda ubahatishe ya diesel
Inatumia petrol?Inanikamua balaa[emoji23][emoji23][emoji23] ila nikiweka fulltank angalau nakuwa natupia 30 au 40 kwa siku but isipokuwa nakitu inakula mpk 60 ni jini[emoji23][emoji23][emoji23]
Ahaaaaahaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji120]wewe..Brevis ni takataka...hamna gari humo. Gari za ukweli zinazoeleweka na kuheshimika ni BENZ, BMW, AUDI nk achana na huo ushuzi. Tatizo kubwa la wabongo hawajui vitu vizuri, wanafuata mkumbo tu. Takataka kama Brevis sijui Noah voxy ulaya haziruhusiwi kabisa na hutaziona barabarani hata kwa dawa
Unakomenti kwa wenye maguta best[emoji23] [emoji23] [emoji23]Sisi ambao hatuna mikebe tuna komenti wapi...[emoji30][emoji30][emoji30]
HuhuuuNaomba kuwasilisha....[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] View attachment 952713
Nako huko Japan ukiona gari zuri especially these SUV halafu bei rahisi shtuka!...inakuwa na vitu vingi vibovu, ikitua tu bongo cha kwanza unatua kwenye mziki wa kununua engine or kupiga pasi!...otonetor, bearing, etcDuh noma sana mkuu hilo wese balaaa, mkuu hizi kodi noma sana maana naona bei ya gari kule bei chee sana kuna mtu aliwahi kuona gari mtandaoni inauzwa $900 kanunua bila kujua mpaka anaitia mkononi itafika kwenye milion 8 huko
Nafikiri hujamuelewa ni uwepesi gani anamaanisha, kuna gari km vx ukikanyaga mafuta unaiskia kabisa ni nyepesi, lkn nyingine ni ndogo kiumbo lakin unaskia kabisa ni nzito,Hivyo unavyoita vyepesi ukifika speed 180km/hr kitapeperushwa kama kapelo inavyopeperushwa toka kichwani. Gari nzito ina maana yake, nayo ni 'STABILITY', hata uwe speed 240km/hr (kama ingekuwepo) mashine inanata na lami kama uko 50km/hr, very steady!
umeshindwa kuelewa tofauti ya brand name na model make, halafu unasema brevis ni takataka kwa bmw, ndugu vipi, kwa faida yako pitia link hii BMW 325i xDrive vs Toyota Brevis Ai300 ujue kuwa ni brevis ni gari ya maana sawa bmw x3, siyo porojo na kusifia vitu vya watu kwa mkumboAhaaaaahaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji120]
Mkuu.....Unakomenti kwa wenye maguta best[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Haahaa.... ..how best akeMkuu.....
Unajua wewe huwa unanimaliza sana ndiomaana nakosa totoz za humu...[emoji29] [emoji29]
Gari ndogo ni nzito sababu ya udogo wa engine, sasa cc: 3000 halafu iwe nzito maana yake ni mbovu na inahitaji serviceNafikiri hujamuelewa ni uwepesi gani anamaanisha, kuna gari km vx ukikanyaga mafuta unaiskia kabisa ni nyepesi, lkn nyingine ni ndogo kiumbo lakin unaskia kabisa ni nzito,
Mbona gx100 natembelea speed 180 na haipeperushwi?