Afu huwa ipo na nailed Audi S8 wanayoitumiaga kwenye movie ya transporter series Ni hatareeee....Utamiliki tu one day cha msingi ni kutokata tamaa.
Nna picha kubwa nimeiweka sebuleni.Hyo gari unapenda kuiangalia kwenye picha au unapenda kuimiliki kimawazo?
Kama sijakuelewa vile?
Then it's a good deal!Fuel consumption 1L 7.8km A/C on na mafoleni ya Dsm
Nakubaliana na wewe asilimia 1oo.Ila mkuu kuna magari ya mgermany yana engine kubwa lakini ulaji wake wa mafuta mdogo compared na magari haya ya brevis kutokana na uhybrid wake
Nakupa 70m, nataka 10 , zisiwe used in TzHii brevis ya milion 7 !!???
Jf ina vihoja vyake mkuu kwahyo wengne ni kuwasoma na kupita... Humu ndani wote wanamiliki magari ya bei Kali mpaka unaweza kujiuliza hawa walioko jf wanaishi nchi gani?umeshindwa kuelewa tofauti ya brand name na model make, halafu unasema brevis ni takataka kwa bmw, ndugu vipi, kwa faida yako pitia link hii BMW 325i xDrive vs Toyota Brevis Ai300 ujue kuwa ni brevis ni gari ya maana sawa bmw x3, siyo porojo na kusifia vitu vya watu kwa mkumbo
Walikupokonya mke nini!! Wategenezaji wanawajua Nshomile?Hizo wanazipenda akina Nshomile Misifa
Mnamagari mazuri hamyaendeshi kwa furaha, bora niendelee na ka wish changu no stress.Inanikamua balaa[emoji23][emoji23][emoji23] ila nikiweka fulltank angalau nakuwa natupia 30 au 40 kwa siku but isipokuwa nakitu inakula mpk 60 ni jini[emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe nawe limbukeniYaani bila aibu unakuja kusifia toyota brevis? Uwe serious.unaona ni heshima kuwa na toyota brevis? Sasa na wenye magari nao waje waseme nini? Muwe serious...siyo mkinunua tu gari mnakuja kutupamba humu.na wenye magari wamenyamaza.
Unasifia toyota brevis na wamiliki wa BMW wamo, na wamiliki wa BENZ wamo humu, na wamiliki wa Range, Audi, Bentley, Escarade wamo wamenyamaza.
Mkuu kuna gari sio ya kutisha sana ila kiuhalisi performance yake ni kali sana .Gari yenyewe ni Nissan Pathfinfer ,cc 2500,turbo ,hadi speed 180 na bado gari unahisi kama ipo speed 80.Yaani bila aibu unakuja kusifia toyota brevis? Uwe serious.unaona ni heshima kuwa na toyota brevis? Sasa na wenye magari nao waje waseme nini? Muwe serious...siyo mkinunua tu gari mnakuja kutupamba humu.na wenye magari wamenyamaza.
Unasifia toyota brevis na wamiliki wa BMW wamo, na wamiliki wa BENZ wamo humu, na wamiliki wa Range, Audi, Bentley, Escarade wamo wamenyamaza.
Kuna mwenzako alitaka kufa kwa ligi kama hizo. Aliyaovertake magari yote,mbele yake kulikua na gari ndogo ambayo kwa mealezo yake ilikua ni kama gari za toyota. Sasa wakati anajaribu kulipita,jamaa anaongeza kidogo sana. V8 akikanyaga hadi 230kph,jamaa anaibia kidogo kwa ujanja. V8 ilitoa harufu ya kwenye clutch kuelemewa.Mkuu sina hicho kitu ila nilikipata mahsli ili niende nacho mkoani.
Ni balaa!
Jamaa hapa wanaihusudu Brevis, lakini hiyo ni no contest mbele ya hii mi V8.
Kwa mchezo tu, mbele yangu niliona Brevis, at 140 ~150km/hr.
Akiona nakuja Brevis akaongeza mwendo hadi 160kmhr.
Nikampa 180km/hr naye akaongeza tukawa sambamba.
Hizo ni spidi kali, lakini mbuga inaruhusu.
Unaona mbelebhadi kilometa mbili, hakuna gari mbele.
Hapo ikabidi nionyeshe heshima ya ya V8.
Acceleration hadi 200~210km/hr ikatosha kumuacha Brevis.
TAHADHARI: huu mchezo ni hatari sana
We mwongowewe..Brevis ni takataka...hamna gari humo. Gari za ukweli zinazoeleweka na kuheshimika ni BENZ, BMW, AUDI nk achana na huo ushuzi. Tatizo kubwa la wabongo hawajui vitu vizuri, wanafuata mkumbo tu. Takataka kama Brevis sijui Noah voxy ulaya haziruhusiwi kabisa na hutaziona barabarani hata kwa dawa
Ila nyingi ni za Mjapan,huo ni ukweli.Taratibu chief sio kila mtu anaagiza Japan aisee watu wanaagiza Singapore na Uk na gar zinafika nazo useme ni production ya Mjapan??
Sasa ya mke imetoka wapi?Walikupokonya mke nini!! Wategenezaji wanawajua Nshomile?
Mkuu ndio maana nilitoa tahadhari, huo ni ufisadi wa barabarani.Kuna mwenzako alitaka kufa kwa ligi kama hizo. Aliyaovertake magari yote,mbele yake kulikua na gari ndogo ambayo kwa mealezo yake ilikua ni kama gari za toyota. Sasa wakati anajaribu kulipita,jamaa anaongeza kidogo sana. V8 akikanyaga hadi 230kph,jamaa anaibia kidogo kwa ujanja. V8 ilitoa harufu ya kwenye clutch kuelemewa.
Jamaa akamuonyesha kuwa wewe V8 LandCruiser si lolote,akachochea na kumuacha kama amesimama. Kumbuka hiyo ilikua ni saloon Car,hopefully AUDI,anakadiria ni zile zenye speed 260kph hadi 300kph,usicheze na hizo mashine,hakuna cha V8 wala nini.
Mkuu kuota ni muhimu.Jf ina vihoja vyake mkuu kwahyo wengne ni kuwasoma na kupita... Humu ndani wote wanamiliki magari ya bei Kali mpaka unaweza kujiuliza hawa walioko jf wanaishi nchi gani?
Huwezi amini ni hao unaopishana nao mitaani ambao wana vitz ist Raum, ipsum Bodaboda bajaji mpaka wasaga miguu, lakn wakiwa humu wote matajiri
Hakuna mjerumani anae compromise quality.Halafu mnaomiliki Mercedes-Benz, Audi, Volkswagen na BMW mjini. 80% mnamtumia magari ya kutengenezwa China au Japan yakiwa under licence ya Mjarumani... Kumiliki gari ya mjerumani kabisa si mchezo, mjini yamejaa magari ya Japan na China.
Mercedes-Benz zinatoka China ndiyo wanauziwa watu huku, kuna kiwanda kule mjerumani anamiliki hisa 47% kama sikosei.
BMW, Volkswagen na Audi zote zinatengenezwa Japan ndiyo zimejaa huku mijini. Watu wanajisifu kumiliki gari za mjerumani original, kumbe zimeundiwa Japan na China.
Hamuwezi wakashifu wanaotumia Toyota ya aina yeyote
Hayo mengine sawa kujisifu, ila ukitaja kampuni za kijerumani tambua watu wananunua magari ya China au Japan. Ndiyo waliyojaa mashauzi mjini.