Toyota Brevis na heshima zake

Toyota Brevis na heshima zake

Ila mkuu kuna magari ya mgermany yana engine kubwa lakini ulaji wake wa mafuta mdogo compared na magari haya ya brevis kutokana na uhybrid wake
Nakubaliana na wewe asilimia 1oo.
Hapa ni sawa na tecno aka Toyota na german cars aka iphone or sunsung
 
umeshindwa kuelewa tofauti ya brand name na model make, halafu unasema brevis ni takataka kwa bmw, ndugu vipi, kwa faida yako pitia link hii BMW 325i xDrive vs Toyota Brevis Ai300 ujue kuwa ni brevis ni gari ya maana sawa bmw x3, siyo porojo na kusifia vitu vya watu kwa mkumbo
Jf ina vihoja vyake mkuu kwahyo wengne ni kuwasoma na kupita... Humu ndani wote wanamiliki magari ya bei Kali mpaka unaweza kujiuliza hawa walioko jf wanaishi nchi gani?
Huwezi amini ni hao unaopishana nao mitaani ambao wana vitz ist Raum, ipsum Bodaboda bajaji mpaka wasaga miguu, lakn wakiwa humu wote matajiri
 
Inanikamua balaa[emoji23][emoji23][emoji23] ila nikiweka fulltank angalau nakuwa natupia 30 au 40 kwa siku but isipokuwa nakitu inakula mpk 60 ni jini[emoji23][emoji23][emoji23]
Mnamagari mazuri hamyaendeshi kwa furaha, bora niendelee na ka wish changu no stress.
 
Yaani bila aibu unakuja kusifia toyota brevis? Uwe serious.unaona ni heshima kuwa na toyota brevis? Sasa na wenye magari nao waje waseme nini? Muwe serious...siyo mkinunua tu gari mnakuja kutupamba humu.na wenye magari wamenyamaza.

Unasifia toyota brevis na wamiliki wa BMW wamo, na wamiliki wa BENZ wamo humu, na wamiliki wa Range, Audi, Bentley, Escarade wamo wamenyamaza.
Wewe nawe limbukeni
 
Avtoros Shaman 8x8 All-Terrain Vehicle
1543747881719.png

1543747948221.png
1543747973035.png
1543747995784.png
 

Attachments

  • 1543748049261.png
    1543748049261.png
    700.5 KB · Views: 36
Wabongo bana,eti Brevis nayo nigari yakuogopa kwa consumption ya fuel na spears. Brevis nigari ya kumpa mtoto wako wa Advance kwendea shule.
 
Yaani bila aibu unakuja kusifia toyota brevis? Uwe serious.unaona ni heshima kuwa na toyota brevis? Sasa na wenye magari nao waje waseme nini? Muwe serious...siyo mkinunua tu gari mnakuja kutupamba humu.na wenye magari wamenyamaza.

Unasifia toyota brevis na wamiliki wa BMW wamo, na wamiliki wa BENZ wamo humu, na wamiliki wa Range, Audi, Bentley, Escarade wamo wamenyamaza.
Mkuu kuna gari sio ya kutisha sana ila kiuhalisi performance yake ni kali sana .Gari yenyewe ni Nissan Pathfinfer ,cc 2500,turbo ,hadi speed 180 na bado gari unahisi kama ipo speed 80.
 
Mkuu sina hicho kitu ila nilikipata mahsli ili niende nacho mkoani.
Ni balaa!
Jamaa hapa wanaihusudu Brevis, lakini hiyo ni no contest mbele ya hii mi V8.

Kwa mchezo tu, mbele yangu niliona Brevis, at 140 ~150km/hr.
Akiona nakuja Brevis akaongeza mwendo hadi 160kmhr.
Nikampa 180km/hr naye akaongeza tukawa sambamba.
Hizo ni spidi kali, lakini mbuga inaruhusu.
Unaona mbelebhadi kilometa mbili, hakuna gari mbele.

Hapo ikabidi nionyeshe heshima ya ya V8.
Acceleration hadi 200~210km/hr ikatosha kumuacha Brevis.
TAHADHARI: huu mchezo ni hatari sana
Kuna mwenzako alitaka kufa kwa ligi kama hizo. Aliyaovertake magari yote,mbele yake kulikua na gari ndogo ambayo kwa mealezo yake ilikua ni kama gari za toyota. Sasa wakati anajaribu kulipita,jamaa anaongeza kidogo sana. V8 akikanyaga hadi 230kph,jamaa anaibia kidogo kwa ujanja. V8 ilitoa harufu ya kwenye clutch kuelemewa.
Jamaa akamuonyesha kuwa wewe V8 LandCruiser si lolote,akachochea na kumuacha kama amesimama. Kumbuka hiyo ilikua ni saloon Car,hopefully AUDI,anakadiria ni zile zenye speed 260kph hadi 300kph,usicheze na hizo mashine,hakuna cha V8 wala nini.
 
wewe..Brevis ni takataka...hamna gari humo. Gari za ukweli zinazoeleweka na kuheshimika ni BENZ, BMW, AUDI nk achana na huo ushuzi. Tatizo kubwa la wabongo hawajui vitu vizuri, wanafuata mkumbo tu. Takataka kama Brevis sijui Noah voxy ulaya haziruhusiwi kabisa na hutaziona barabarani hata kwa dawa
We mwongo
 
Kuna mwenzako alitaka kufa kwa ligi kama hizo. Aliyaovertake magari yote,mbele yake kulikua na gari ndogo ambayo kwa mealezo yake ilikua ni kama gari za toyota. Sasa wakati anajaribu kulipita,jamaa anaongeza kidogo sana. V8 akikanyaga hadi 230kph,jamaa anaibia kidogo kwa ujanja. V8 ilitoa harufu ya kwenye clutch kuelemewa.
Jamaa akamuonyesha kuwa wewe V8 LandCruiser si lolote,akachochea na kumuacha kama amesimama. Kumbuka hiyo ilikua ni saloon Car,hopefully AUDI,anakadiria ni zile zenye speed 260kph hadi 300kph,usicheze na hizo mashine,hakuna cha V8 wala nini.
Mkuu ndio maana nilitoa tahadhari, huo ni ufisadi wa barabarani.
Lakini mashine niliyokuwa nayo ni mpaka 260km/hr.
V8 itoe harufu at 230km/hr, labda ilikuwa mbovu!

Hata hivyo kufikia spidi hizo sijawahi maana barabara zetu sioni sehemu za kwenda 260~300km/hr.
Halafu akikatisha mbwa tu kama huja roll unapata damage kubwa tu.
 
Jf ina vihoja vyake mkuu kwahyo wengne ni kuwasoma na kupita... Humu ndani wote wanamiliki magari ya bei Kali mpaka unaweza kujiuliza hawa walioko jf wanaishi nchi gani?
Huwezi amini ni hao unaopishana nao mitaani ambao wana vitz ist Raum, ipsum Bodaboda bajaji mpaka wasaga miguu, lakn wakiwa humu wote matajiri
Mkuu kuota ni muhimu.
One day yes!
 
Halafu mnaomiliki Mercedes-Benz, Audi, Volkswagen na BMW mjini. 80% mnamtumia magari ya kutengenezwa China au Japan yakiwa under licence ya Mjarumani... Kumiliki gari ya mjerumani kabisa si mchezo, mjini yamejaa magari ya Japan na China.

Mercedes-Benz zinatoka China ndiyo wanauziwa watu huku, kuna kiwanda kule mjerumani anamiliki hisa 47% kama sikosei.

BMW, Volkswagen na Audi zote zinatengenezwa Japan ndiyo zimejaa huku mijini. Watu wanajisifu kumiliki gari za mjerumani original, kumbe zimeundiwa Japan na China.

Hamuwezi wakashifu wanaotumia Toyota ya aina yeyote


Hayo mengine sawa kujisifu, ila ukitaja kampuni za kijerumani tambua watu wananunua magari ya China au Japan. Ndiyo waliyojaa mashauzi mjini.
Hakuna mjerumani anae compromise quality.

BMW anayoendesha Mchina ni sawa na ya South Africa au Brazil.

Huo ujinga anaoujaza Mchina haupo Germany.
 
Back
Top Bottom