Taavid
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 8,293
- 70,866
gari dumeNaomba kuwasilisha....[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] View attachment 952713
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
gari dumeNaomba kuwasilisha....[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] View attachment 952713
Dada kichaa wa magari,nakuaminiaTouareg haili wese kivile mkuu....Cc kubwa but fuel consumption ni moderate
PS. Kwa Touareg zinazotumia diesel lkn
Wamesha juwa kwamba mimi ndie member pekee wa humu nisie miliki degree, gari na kingereza sijui...[emoji19] [emoji19]Haahaa.... ..how best ake
[emoji12] [emoji12] [emoji12]gari dume
Touareg haili wese kivile mkuu....Cc kubwa but fuel consumption ni moderate
PS. Kwa Touareg zinazotumia diesel lkn
Fuel consumption?Kununua Brevis ni undezi engine nzito gari nzito mambo yote ni Crown Athlete engine kubwa gari nyepesi
Nafikiri hujamuelewa ni uwepesi gani anamaanisha, kuna gari km vx ukikanyaga mafuta unaiskia kabisa ni nyepesi, lkn nyingine ni ndogo kiumbo lakin unaskia kabisa ni nzito,
Mbona gx100 natembelea speed 180 na haipeperushwi?
Toyota Camry ina 240km/hrIssue is, sijawahi ona zaidi ya 180km/hr kwenye hizi saloon za Toyota, wametubania tu
Kwa hiyo wanatoka nduki sio?[emoji23] [emoji23] [emoji23]Wamesha juwa kwamba mimi ndie member pekee wa humu nisie miliki degree, gari na kingereza sijui...[emoji19] [emoji19]
Pamoja mkuu...Ukisoma coment yangu nimesema labda upate ya diesel otherwise ukipata yenye cc 4000+ na iwe petrol umekwisha
Yaani hata pm huwa hawajibu kabisaaaaa......Kwa hiyo wanatoka nduki sio?[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nawapa pole yao laiti wangejua!
Ahaaaahaaaa....sasa mbona hujabadilisha?[emoji23] [emoji23]Yaani hata pm huwa hawajibu kabisaaaaa......
Kuna mmoja aliwahi kuniambia eti nimkome hadi siku nitakapo badikisha avatar....[emoji12] [emoji12] [emoji12]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Noma sana,v8 ni mnyamaMkuu sina hicho kitu ila nilikipata mahsli ili niende nacho mkoani.
Ni balaa!
Jamaa hapa wanaihusudu Brevis, lakini hiyo ni no contest mbele ya hii mi V8.
Kwa mchezo tu, mbele yangu niliona Brevis, at 140 ~150km/hr.
Akiona nakuja Brevis akaongeza mwendo hadi 160kmhr.
Nikampa 180km/hr naye akaongeza tukawa sambamba.
Hizo ni spidi kali, lakini mbuga inaruhusu.
Unaona mbelebhadi kilometa mbili, hakuna gari mbele.
Hapo ikabidi nionyeshe heshima ya ya V8.
Acceleration hadi 200~210km/hr ikatosha kumuacha Brevis.
TAHADHARI: huu mchezo ni hatari sana
ChembaTouareg haili wese kivile mkuu....Cc kubwa but fuel consumption ni moderate
PS. Kwa Touareg zinazotumia diesel lkn
Unamaanisha kama simu za iphone na sumsung za kichina na nyinginezo? HahaaaHalafu mnaomiliki Mercedes-Benz, Audi, Volkswagen na BMW mjini. 80% mnamtumia magari ya kutengenezwa China au Japan yakiwa under licence ya Mjarumani... Kumiliki gari ya mjerumani kabisa si mchezo, mjini yamejaa magari ya Japan na China.
Mercedes-Benz zinatoka China ndiyo wanauziwa watu huku, kuna kiwanda kule mjerumani anamiliki hisa 47% kama sikosei.
BMW, Volkswagen na Audi zote zinatengenezwa Japan ndiyo zimejaa huku mijini. Watu wanajisifu kumiliki gari za mjerumani original, kumbe zimeundiwa Japan na China.
Hamuwezi wakashifu wanaotumia Toyota ya aina yeyote
Hayo mengine sawa kujisifu, ila ukitaja kampuni za kijerumani tambua watu wananunua magari ya China au Japan. Ndiyo waliyojaa mashauzi mjini.
Balaa,linameza sio kunywaIna maana uliona bei chee ukanunua kumbe umenunua jini?
Fuel consumption 1L 7.8km A/C on na mafoleni ya DsmFuel consumption?
Hyo gari unapenda kuiangalia kwenye picha au unapenda kuimiliki kimawazo?
Halafu walio wengi hao wanayasema hayo ma BMW,Benz kwa kuyaona barabaran tu usikute hata toyo hana...Unajua kuna kitu wewe huelewi, kuna magari yana mshawasha wa aina yake. Labda nikupe mfano; Justin bieber ni msanii mkubwa sana zaidi ya Diamond platnumz, lakini kwa hapa bongo mtaje Justim halafu mtaje Dai, mshtuko utakuwa mkubwa kwa Dai, ila justin kwa huko kimataifa ndio atatamba sio hapa, sasa hayo ma BMW na Benz ni huko, hapa hazina mashiko.., tumeelewana wa mzee?