Toyota Brevis na matunzo yake karibuni wajuvi kutoa ushauri

Toyota Brevis na matunzo yake karibuni wajuvi kutoa ushauri

Siri yangu

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2023
Posts
1,426
Reaction score
2,845
Habarini za asubuhi wakuu , Samahani naomba kuuliza kwa wale wazoefu wa magari na wengine ni mafundi mtoe ushauri hapa.

Toyota brevis ni gari ambayo imesemwa maneno mengi na tunajua uzalishaji wake haupo tena na kila mtu anasema gari ni jini mara inakula mafuta mara spare zake ni ghali kila baya gari hili inapewa, ombi langu kwenu wajuvi nisaidieni mfano nikaipata nzuri kwa bei ya milioni 5m , 6m au 7m na nikaamua kutumia gharama za kuikarabati vizuri kila eneo iridi kama mpya je vitu gani vya kuzingatia kuvirepea kwenye gari hilo walau nikitumia milioni 4 kwa ajili ya spare tu.

Naombeni ushauri
 
Mkuu kwani kwenye brevis unalenga kupata? Brevis ni nzito, technology ya zamini na more power hivyo ina high fuel consumption yaani jiandae 6km/litre on city road and 8km/litre high way.
Tafuta premio 1ZZ- FE unapata luxury, power and good fuel consumption inakupa hadi 10km/litre city road and 14km/ litre on high way.
Hii ukiwa na budget yako ya 7m +4m =11m unapata Kwa mtu chuma Kali kabisa.
 
Mkuu kwani kwenye brevis unalenga kupata? Brevis ni nzito, technology ya zamini na more power hivyo ina high fuel consumption yaani jiandae 6km/litre on city road and 8km/litre high way.
Tafuta premio 1ZZ- FE unapata luxury, power and good fuel consumption inakupa hadi 10km/litre city road and 14km/ litre on high way.
Hii ukiwa na budget yako ya 7m +4m =11m unapata Kwa mtu chuma Kali kabisa.
Ameen nimekupata mkuu ngoja nitafute hiyo premio sasa
 
Mkuu kwani kwenye brevis unalenga kupata? Brevis ni nzito, technology ya zamini na more power hivyo ina high fuel consumption yaani jiandae 6km/litre on city road and 8km/litre high way.
Tafuta premio 1ZZ- FE unapata luxury, power and good fuel consumption inakupa hadi 10km/litre city road and 14km/ litre on high way.
Hii ukiwa na budget yako ya 7m +4m =11m unapata Kwa mtu chuma Kali kabisa.
Vipi kwa mie ninayotaka Suv, toyota kluger inafaa? uimara wagari kwa sie tunaopenda kusafiri nayo vijijini
 
Back
Top Bottom