Mcharo son
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 4,718
- 3,804
Nilichoipendea ina siti 7, kule nyuma zipo 2 za kukunjua; tofauti na hizo Rav 4 yenye siti 5Hiyo gari ni nzuri mkuu kama mishe zako ni vijijini au chukua RAV 4 old model au miss Tanzania pia ni nzuri kwa chaka to chaka