Mcharo son
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 4,718
- 3,804
Nilichoipendea ina siti 7, kule nyuma zipo 2 za kukunjua; tofauti na hizo Rav 4 yenye siti 5Hiyo gari ni nzuri mkuu kama mishe zako ni vijijini au chukua RAV 4 old model au miss Tanzania pia ni nzuri kwa chaka to chaka
Hiyo mkuu ni machine, ni gari ngumu sana na ina mudu mazingira yote, cha msingi tumia vimiminika SAHIHI ambavyo ni manufacturer recommended.Vipi kwa mie ninayotaka Suv, toyota kluger inafaa? uimara wagari kwa sie tunaopenda kusafiri nayo vijijini
Umenena vemaHiyo mkuu ni machine, ni gari ngumu sana na ina mudu mazingira yote, cha msingi tumia vimiminika SAHIHI ambavyo ni manufacturer recommended.
hiyo milion 10 si unaipata ambayo iko almost mpya ambayo hahitaji matengenezo meng. Yani 6 + 4 = 10Habarini za asubuhi wakuu , Samahani naomba kuuliza kwa wale wazoefu wa magari na wengine ni mafundi mtoe ushauri hapa.
Toyota brevis ni gari ambayo imesemwa maneno mengi na tunajua uzalishaji wake haupo tena na kila mtu anasema gari ni jini mara inakula mafuta mara spare zake ni ghali kila baya gari hili inapewa, ombi langu kwenu wajuvi nisaidieni mfano nikaipata nzuri kwa bei ya milioni 5m , 6m au 7m na nikaamua kutumia gharama za kuikarabati vizuri kila eneo iridi kama mpya je vitu gani vya kuzingatia kuvirepea kwenye gari hilo walau nikitumia milioni 4 kwa ajili ya spare tu.
Naombeni ushauri
Kwa Mil 7 unapata Brevis karibia na mpya. Kuna moja nimeona inauzwa Mil 2.4 number DELHabarini za asubuhi wakuu , Samahani naomba kuuliza kwa wale wazoefu wa magari na wengine ni mafundi mtoe ushauri hapa.
Toyota brevis ni gari ambayo imesemwa maneno mengi na tunajua uzalishaji wake haupo tena na kila mtu anasema gari ni jini mara inakula mafuta mara spare zake ni ghali kila baya gari hili inapewa, ombi langu kwenu wajuvi nisaidieni mfano nikaipata nzuri kwa bei ya milioni 5m , 6m au 7m na nikaamua kutumia gharama za kuikarabati vizuri kila eneo iridi kama mpya je vitu gani vya kuzingatia kuvirepea kwenye gari hilo walau nikitumia milioni 4 kwa ajili ya spare tu.
Naombeni ushauri
Nafikiri itakuwa nzima zaidihiyo milion 10 si unaipata ambayo iko almost mpya ambayo hahitaji matengenezo meng. Yani 6 + 4 = 10
Kwanini mkuu nisiwe seriously hebu nipe madini nishawishike kubadili akili yanguHivi kweli mtu upo serious unataka kununua brevis?
Hiyo ni namba tu itakuwa imechoka sanaKwa Mil 7 unapata Brevis karibia na mpya. Kuna moja nimeona inauzwa Mil 2.4 number DEL
Kwanini mkuu nisiwe seriously hebu nipe madini nishawishike kubadili akili yangu
Mateso na majuto yake ni yapi??Japo sijasoma comment zote, nina uhakika umeshalewa kwamba Brevis siyo gari.
Mimi mwenyewe hata ukinipa la bure sichukui.
Hiyo gari ni mateso na majuto.
Ngoja nikuibie siri, watu wengi hawana uwezo wa kuichosha Brevis.Hiyo ni namba tu itakuwa imechoka sana
Sio kwamba ni maneno ya kukaririshwa ulishawahi miliki ukajua shida zake zipo wapi?Japo sijasoma comment zote, nina uhakika umeshalewa kwamba Brevis siyo gari.
Mimi mwenyewe hata ukinipa la bure sichukui.
Hiyo gari ni mateso na majuto.
SawaNgoja nikuibie siri, watu wengi hawana uwezo wa kuichosha Brevis.
Ongeza nawe nyama kidogo mkuu kuhusu hii gari, wanaiponda sana watu sasa tumeamua tupate madiningoja nichukue madini
Ongeza nawe nyama kidogo mkuu kuhusu hii gari, wanaiponda sana watu sasa tumeamua tupate madini
Sawa mkuuFanya uinunue ili ujionee mwenyewe kama ni nzuri au laa.
Lakini hadi unakuja kuomba ushauri, bila shaka wewe mwenyewe una wasiwasi nayo tayari.
Haleluyah ndio tunataka shuhuda kama hizi sasaKama ina ingine ya 1jz D4 ni gari nxuri mimi ninayo inakula 13.5km mjini na high 15km per liter ,ila uwe na plug originally, air filter mpya,na mafuta mazuri,pia uweke oil inayotakiwa kwa injini hiyo 10w- 30 .inakimbia vizuri pia life span ya injini ni km 500,000