Hayo madude siyakubali. Sijui kwanini. Nadhani nimeathirika kisaikolojia najikuta nazichukia sana Saloon cars, hasa baada ya kukaa sana vijijini na kila mtu kuziita "Taxi".
Yani unaweza ukawa na chuma lako Mark X limesimama hatari. Ukipita nalo Mpitimbi au kule Kigonsera kila mwanakijiji anakupa jina, " Yule blaza mwenye taxi kapita sasa hivi" [emoji23][emoji23]
All in all, crown zimekuja kama upepo tu wa kisuri suri kama zilivyokujaga Verossa, Baloon na Mark X.. Fashion yake itapita na zitaanza kuonekana kama mtumba tu!
Upo sahihi kabisa. Basi tu mm sina flavor na hizo saloon cars. Gari yangu ya kwanza ilikua Grand Mark 2 gx100. Sikuwahi kuenjoy saaana! Always mishe zangu ni vijijini, kila wakati nilikua naonekana kama naendesha taxi tu!Gari sikuzote zinakuja kama upepo na kupotea
Lkn jitahidi upepo upitie kwako brother [emoji23]
Hata nyumba zina upepo piaa
Angalia nyumba za miaka ya 90’s pale magomeni ,manzese then compare early 90s msasani,mikocheni afu cheki mijengo ya 20s kule mbezi beach halafu maliza na miaka hii ya kuanzia 2015 kule Mbweni hata Goba tu
Upo sahihi kabisa. Basi tu mm sina flavor na hizo saloon cars. Gari yangu ya kwanza ilikua Grand Mark 2 gx100. Sikuwahi kuenjoy saaana! Always mishe zangu ni vijijini, kila wakati nilikua naonekana kama naendesha taxi tu!
Nikauza nikanunua Nissan Wingroad, pale naweza sema nilikula nayo maisha, na ilinifanya nipende hizi sedan cars na SUV. Ingawa wingroad nilipata nayo majanga nikauza (kuna thread yake humu niliielezea)
Kwa sasa nipo na hii Harrier tako la nyani and I can't complain [emoji120]
Same thing bro! Typing errors tu na usingiziNmekupata Vizuri mkuu
Kuna sehemu umenichanganya
Kwani kuna tofauti ya saloon na sedan?
Vanguard ni mnyama sana.Swali la kizushi
Hivi inakuaje harrier ina fuel consumption kubwa kuliko Vanguard wakati engine size zinafanana na vanguard ni ina long base chasis.so body ratio ni kubwa
Simpo jibu ni gear box, ya harrier ina gia 4 kwa cc2400 na gia 5 kwa 3000cc ila vanguard, rav 4 zina 2400cc ila ina CVT gia 6 kama cjakoseaSwali la kizushi
Hivi inakuaje harrier ina fuel consumption kubwa kuliko Vanguard wakati engine size zinafanana na vanguard ni ina long base chasis.so body ratio ni kubwa
Umekosea kitu kimoja tu. Hizo ulizosema zimepita ni gari moja. Yaani Mark2,Verossa then ikageuka Mark X. Ila Crown ni Crown haitapotea kama Verossa au Mark 2. Crown itaendelea kuwepo zikija new models tu.Hayo madude siyakubali. Sijui kwanini. Nadhani nimeathirika kisaikolojia najikuta nazichukia sana Saloon cars, hasa baada ya kukaa sana vijijini na kila mtu kuziita "Taxi".
Yani unaweza ukawa na chuma lako Mark X limesimama hatari. Ukipita nalo Mpitimbi au kule Kigonsera kila mwanakijiji anakupa jina, " Yule blaza mwenye taxi kapita sasa hivi" [emoji23][emoji23]
All in all, crown zimekuja kama upepo tu wa kisuri suri kama zilivyokujaga Verossa, Baloon na Mark X.. Fashion yake itapita na zitaanza kuonekana kama mtumba tu!
Aah kipato tu huwezi kuwa na hela ya grs200 halafu ukanunua grs180 eti unaipenda sanaSure!
Na wengi wanapenda Grs180/182 body yake ni sport
Wanaita crown kabati [emoji28]
Umekosea kitu kimoja tu. Hizo ulizosema zimepita ni gari moja. Yaani Mark2,Verossa then ikageuka Mark X.
Ila Crown ni Crown haitapotea kama Verossa au Mark 2. Crown itaendelea kuwepo zikija new models tu.
Kibongobongo watu wametoka grs180/182 wameingia grs200 na zitaemdelea hivyo bila kupotea Jina na nembo ya Crown. It's a flagship for Japanese sedan.
Simpo jibu ni gear box, ya harrier ina gia 4 kwa cc2400 na gia 5 kwa 3000cc ila vanguard, rav 4 zina 2400cc ila ina CVT gia 6 kama cjakosea
" Yule blaza mwenye taxi kapita sasa hivi" [emoji23][emoji23]