Toyota Crown Athlete - ‘the Japanese Benz’

Toyota Crown Athlete - ‘the Japanese Benz’

Kwan mwonekano wa MARK X una shida gani mkuu yaani si unaongelea mwonekano wa nje mbona mi naona mwonekano wa CROWN ndo wa kilocal ila wa Mnyama X umekaa kibabe fulani ivi yaani umekaa kikushangaza alafu mbona x yuko comfrtable na stable zaidi akiwa barabarani kuliko uyo CROWN kama unabisha check statics za ajali za kupinduka kati ya CROWN na X alafu uje uniambie ipi iko stable zaidi ya mwenzie alafu kama ni swala la speed nadhani unamuelewa mnyama x ama zote zinaweza kulingana ulaji wa mafuta zinalingana engine zote zinatumia za aina moja sasa apa CROWN maajabu yake ni yapi dhidi ya MARK X?
Ndio maana nikakuambia inabase sana na personal interest..ila kati ya watu 10 atakaechagua mark x ni mmoja out of 10
 
Gari ya chini sijawah kuielewa, mzee aliniachia defender yake mwaka 2012 hadi leo ndio gari yangu na sina mpango wa kununua nyingine maybe kuiboresha hii
images%20(59).jpg
 
u
Upo sahihi kabisa. Basi tu mm sina flavor na hizo saloon cars. Gari yangu ya kwanza ilikua Grand Mark 2 gx100. Sikuwahi kuenjoy saaana! Always mishe zangu ni vijijini, kila wakati nilikua naonekana kama naendesha taxi tu!

Nikauza nikanunua Nissan Wingroad, pale naweza sema nilikula nayo maisha, na ilinifanya nipende hizi station wagon na SUV cars. Ingawa wingroad nilipata nayo majanga nikauza (kuna thread yake humu niliielezea)

Kwa sasa nipo na hii Harrier tako la nyani and I can't complain [emoji120]
uzuri wa hatcback unaweza kubeba Makaba pale Hangangadinda au tangawizi pale Mkongotema
 
Hio ndio fact hutak hulazimishwi tatizo nyie mnakariri na wote mmeshkiwa na proganda za wana crownia yaani wooote mmechukuliwa na izo propaganda embu siku moja panda MARK x alafu ndo urudi apa tubishane kuhusu ni nini na nani ni nani MARK X KUNA VINGI SANA KAMZIDI MBALI CROWN japo wengi mmekariri tu crown crown,

MARK X NI SEDAN CAR BORA SANA NA BOMBA SANA SANA KWANZA TU LETA RATIO YA AJALI ZA KUPINDUKA KATI YA MARK X NA CROWN LETA IYO RATIO ALAFU NDO NITAKUONGEZEA FACTS NYINGINE

Siwezi kubishana na wewe kwa sababu kwanza unaongea kama mtoto, kusema wenzako tumekaririshwa bila kujua background za watu. Pili huna facts zozote kuonyesha mark X ni bora kuliko crown.

Hukatazwi kupenda unachokitaka ila usiamianishe watu bila facts kwamba mark X ni kali zaidi.

Zote zina engine sawa, 2GR, 3GR na 4GR. wheelbase ni ndefu kidogo kwenye crown, luxury features crown inazo nyingi zaidi hasa kwa kuwa zenyewe ni more luxury oriented, options crown anazo nyingi (majesta, royal au athlete). Hizi ndo facts, sio preference wala story.

Inaelekea hata hujui maana ya propaganda. Sina haja ya kupigia debe kitu nisichokuwa na maslahi nacho, tunaelimishana tu humu ndani

Hiyo rate ya ajali sina na ni wala ni mada umeleta wewe wala si mimi.
 
Hio ndio fact hutak hulazimishwi tatizo nyie mnakariri na wote mmeshkiwa na proganda za wana crownia yaani wooote mmechukuliwa na izo propaganda embu siku moja panda MARK x alafu ndo urudi apa tubishane kuhusu ni nini na nani ni nani MARK X KUNA VINGI SANA KAMZIDI MBALI CROWN japo wengi mmekariri tu crown crown,

MARK X NI SEDAN CAR BORA SANA NA BOMBA SANA SANA KWANZA TU LETA RATIO YA AJALI ZA KUPINDUKA KATI YA MARK X NA CROWN LETA IYO RATIO ALAFU NDO NITAKUONGEZEA FACTS NYINGINE
Umekula mkuu?
 
Kwan mwonekano wa MARK X una shida gani mkuu yaani si unaongelea mwonekano wa nje mbona mi naona mwonekano wa CROWN ndo wa kilocal ila wa Mnyama X umekaa kibabe fulani ivi yaani umekaa kikushangaza alafu mbona x yuko comfrtable na stable zaidi akiwa barabarani kuliko uyo CROWN kama unabisha check statics za ajali za kupinduka kati ya CROWN na X alafu uje uniambie ipi iko stable zaidi ya mwenzie alafu kama ni swala la speed nadhani unamuelewa mnyama x ama zote zinaweza kulingana ulaji wa mafuta zinalingana engine zote zinatumia za aina moja sasa apa CROWN maajabu yake ni yapi dhidi ya MARK X?
Mkuu Crown ni full-sized luxury sedan, gari ikishakuwa ni luxury lazima itakua bora, kuanzia features, comfortability, interior design n.k , Mark X ni midsize sedan...

Crown ina sensors za kutosha, safety features kwenye crown zipo nyingi kuliko Mark X, mfano chukua crown athlete/royal saloon ya 2010 tu ulinganishe safety features na mark x ya same year, mfano crown features kama Radar Collision Avoidance System, Pedestrian Detection System, Artificial Intelligence-Adaptive Suspension System n.k, umeme kwenye crown sio wa mgao, crown ina featues nyingi ambazo Mark X haina.

Mfano gari ikiwa na adaptive suspension system, hizo ni sensor na microprocessors zinakuwa zinafuatilia tairi za gari zinavyopita kwenye bara bara, sensors zinatuma hizo taarifa kwenye computer na gari ina adjust springs na shocks in real time ziendane na hali ya barabara ili kuleta smooth driving experience, sasa hii ya crown inatumia AI. Kwa hii feature tu inaelezea nani ni mshindi kwenye comfortability.

Kusema namba za ajali ndio kipimo cha comfortability ya gari unakosea, crown ipo very comfortable nahisi kuwa comfortable zaidi inapelekea mtu kutokua makini.

Kuna kipindi kuna mtu alinipa gari yake kwa muda, ilikuwa range rover old model flani, sasa kuna siku kuna msichana mmoja nikampa aendeshe mi nimekaa pembeni mbele, kuna kitu nilikua naperuzi kidogo, ilikua ni kasafari ka umbali kidogo, gari inatembea tupo sehemu barabara imenyooka, sijui ilikuaje nikaja kutazama kwenye speedmeter gari inasoma 90, ile Range ilikuwa imeandikwa kwa miles/hour, nikamuambia unatembea na speed kubwa mno ndipo akashtuka nikamuambia hii ni miles/h, hapo alikuwa zaidi ya 140km/h, lakini cha ajabu gari ilikua imetulia tuli, very comfortable yani, kiasi kwamba hata yeye mwenyewe yule manzi hakufahamu, comfortability wakati mwingine inaponza. Sasa umekula pombe unakutana na comfortability ya crown, bro what do you expect.

Crown ipo comfortable lakini huwezi sema inafikia comfortability ya Lexus LS, Mark X ipo comfortable lakini haifiki kwa crown.
Tofauti na hapo ni ushabiki maandazi tu.
 
Mkuu Crown ni full-sized luxury sedan, gari ikishakuwa ni luxury lazima itakua bora, kuanzia features, comfortability, interior design n.k , Mark X ni midsize sedan...

Crown ina sensors za kutosha, safety features kwenye crown zipo nyingi kuliko Mark X, mfano chukua crown athlete/royal saloon ya 2010 tu ulinganishe safety features na mark x ya same year, mfano crown features kama Radar Collision Avoidance System, Pedestrian Detection System, Artificial Intelligence-Adaptive Suspension System n.k, umeme kwenye crown sio wa mgao, crown ina featues nyingi ambazo Mark X haina.

Mfano gari ikiwa na adaptive suspension system, hizo ni sensor na microprocessors zinakuwa zinafuatilia tairi za gari zinavyopita kwenye bara bara, sensors zinatuma hizo taarifa kwenye computer na gari ina adjust springs na shocks in real time ziendane na hali ya barabara ili kuleta smooth driving experience, sasa hii ya crown inatumia AI. Kwa hii feature tu inaelezea nani ni mshindi kwenye comfortability.

Kusema namba za ajali ndio kipimo cha comfortability ya gari unakosea, crown ipo very comfortable nahisi kuwa comfortable zaidi inapelekea mtu kutokua makini.

Kuna kipindi kuna mtu alinipa gari yake kwa muda, ilikuwa range rover old model flani, sasa kuna siku kuna msichana mmoja nikampa aendeshe mi nimekaa pembeni mbele, kuna kitu nilikua naperuzi kidogo, ilikua ni kasafari ka umbali kidogo, gari inatembea tupo sehemu barabara imenyooka, sijui ilikuaje nikaja kutazama kwenye speedmeter gari inasoma 90, ile Range ilikuwa imeandikwa kwa miles/hour, nikamuambia unatembea na speed kubwa mno ndipo akashtuka nikamuambia hii ni miles/h, hapo alikuwa zaidi ya 140km/h, lakini cha ajabu gari ilikua imetulia tuli, very comfortable yani, kiasi kwamba hata yeye mwenyewe yule manzi hakufahamu, comfortability wakati mwingine inaponza. Sasa umekula pombe unakutana na comfortability ya crown, bro what do you expect.

Crown ipo comfortable lakini huwezi sema inafikia comfortability ya Lexus LS, Mark X ipo comfortable lakini haifiki kwa crown.
Tofauti na hapo ni ushabiki maandazi tu.

When fact meets experiences[emoji817]

Hii lugha ya kisomi sana mkuu

Crown ni flagship sedan kwa Toyota
 
Back
Top Bottom