Toyota Crown Athlete - ‘the Japanese Benz’

Toyota Crown Athlete - ‘the Japanese Benz’

Siwezi kubishana na wewe kwa sababu kwanza unaongea kama mtoto, kusema wenzako tumekaririshwa bila kujua background za watu. Pili huna facts zozote kuonyesha mark X ni bora kuliko crown.
Hukatazwi kupenda unachokitaka ila usiamianishe watu bila facts kwamba mark X ni kali zaidi.
Zote zina engine sawa, 2GR, 3GR na 4GR. wheelbase ni ndefu kidogo kwenye crown, luxury features crown inazo nyingi zaidi hasa kwa kuwa zenyewe ni more luxury oriented, options crown anazo nyingi (majesta, royal au athlete). Hizi ndo facts, sio preference wala story.
Inaelekea hata hujui maana ya propaganda. Sina haja ya kupigia debe kitu nisichokuwa na maslahi nacho, tunaelimishana tu humu ndani

Hiyo rate ya ajali sina na ni wala ni mada umeleta wewe wala si mimi.
Ulianza vizuri sana mzee lakin tatizo ni kwamba umeingiza matusi na kejeli sasa hii inapelekea hoja zako mimi nizione ni utopolo ulipaswa kunipa fact na kunitaka na mimi nikupe fact then baada ya hapo mnyama mkali nagejulikana kutona na fact amnazo zingekuwa zimetolewa

Ila daah i rest the case over here ndugu yangu nikuache tusije chomana visu bure mkuu!!
 
Ulianza vizuri sana mzee lakin tatizo ni kwamba umeingiza matusi na kejeli sasa hii inapelekea hoja zako mimi nizione ni utopolo ulipaswa kunipa fact na kunitaka na mimi nikupe fact then baada ya hapo mnyama mkali nagejulikana kutona na fact amnazo zingekuwa zimetolewa

Ila daah i rest the case over here ndugu yangu nikuache tusije chomana visu bure mkuu!!
Itetee mark x yako kwa kujibu hoja za and 100 others !!
 
Ulianza vizuri sana mzee lakin tatizo ni kwamba umeingiza matusi na kejeli sasa hii inapelekea hoja zako mimi nizione ni utopolo ulipaswa kunipa fact na kunitaka na mimi nikupe fact then baada ya hapo mnyama mkali nagejulikana kutona na fact amnazo zingekuwa zimetolewa

Ila daah i rest the case over here ndugu yangu nikuache tusije chomana visu bure mkuu!!
Wee utakuwa Muha mbishi na haujui kitu na hautaki kujua. Kuna jamaa hapo juu kakuelewesha kwa facts lkn unajidai post yake haujaiona.
 
Ulianza vizuri sana mzee lakin tatizo ni kwamba umeingiza matusi na kejeli sasa hii inapelekea hoja zako mimi nizione ni utopolo ulipaswa kunipa fact na kunitaka na mimi nikupe fact then baada ya hapo mnyama mkali nagejulikana kutona na fact amnazo zingekuwa zimetolewa

Ila daah i rest the case over here ndugu yangu nikuache tusije chomana visu bure mkuu!!

Pole na Samahani kama kuna mahali nimekukwaza.

Wewe ndio ulianza kuambia watu tumekaririshwa, hilo ndio tusi sasa. Na ndio maana nikawa najaribu kukurudisha, uache hayo maneno yasiyo na msingi ujibu hoja, na dondoo ambazo ni facts nilikupa. Kuambia watu wamekaririshwa bila evidence wala hoja ni dharau na inakuwa tusi automatically.

Sasa tuache hayo tetea hoja zako au ishia hapo kwa kukubali kuwa judgement zako zilijuwa ni oversight.

Halafu nenda kaongeze ujuzi ili ukiwa unaleta hoja iwe based on fact na si personal preference tu, na maneno ya kijiweni ya kuambia watu wamekaririshwa, sijui utopolo.

Na nasisitiza hata kama gari moja ni nzuri sana kuliko mwenzake, personal preference haizuiliki ila tusipotoshe facts coz wengi wanapata ujuzi na uzoefu huku
 
Upo sahihi kabisa. Basi tu mm sina flavor na hizo saloon cars. Gari yangu ya kwanza ilikua Grand Mark 2 gx100. Sikuwahi kuenjoy saaana! Always mishe zangu ni vijijini, kila wakati nilikua naonekana kama naendesha taxi tu!

Nikauza nikanunua Nissan Wingroad, pale naweza sema nilikula nayo maisha, na ilinifanya nipende hizi station wagon na SUV cars. Ingawa wingroad nilipata nayo majanga nikauza (kuna thread yake humu niliielezea)

Kwa sasa nipo na hii Harrier tako la nyani and I can't complain [emoji120]
[emoji3][emoji3] ww huna tofauti na mm, hizo tax dah sijawah zielewa kabisa...mi ni mwendo wa hatchback tu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwan mwonekano wa MARK X una shida gani mkuu yaani si unaongelea mwonekano wa nje mbona mi naona mwonekano wa CROWN ndo wa kilocal ila wa Mnyama X umekaa kibabe fulani ivi yaani umekaa kikushangaza alafu mbona x yuko comfrtable na stable zaidi akiwa barabarani kuliko uyo CROWN kama unabisha check statics za ajali za kupinduka kati ya CROWN na X alafu uje uniambie ipi iko stable zaidi ya mwenzie alafu kama ni swala la speed nadhani unamuelewa mnyama x ama zote zinaweza kulingana ulaji wa mafuta zinalingana engine zote zinatumia za aina moja sasa apa CROWN maajabu yake ni yapi dhidi ya MARK X?
Tungekuwa kwenye gari za Kijerumani ningekwambia unataka kufananisha bmw 5 na 7series. Platforms tofauti za magari. Napenda kutumia msemo 'Crown ni flagship ya japanese sedans'
 
Back
Top Bottom