Toyota Crown Athlete - ‘the Japanese Benz’

Toyota Crown Athlete - ‘the Japanese Benz’

Upo sahihi kabisa. Basi tu mm sina flavor na hizo saloon cars. Gari yangu ya kwanza ilikua Grand Mark 2 gx100. Sikuwahi kuenjoy saaana! Always mishe zangu ni vijijini, kila wakati nilikua naonekana kama naendesha taxi tu!

Nikauza nikanunua Nissan Wingroad, pale naweza sema nilikula nayo maisha, na ilinifanya nipende hizi SUV cars. Ingawa wingroad nilipata nayo majanga nikauza (kuna thread yake humu niliielezea)

Kwa sasa nipo na hii Harrier tako la nyani and I can't complain [emoji120]
Mkuu naomba picha ya Nissan Wingroad "SUV" uliyokuwa nayo
 
Moja ya gari pendwa hapa mjini

Ni Executive sedan Inakupa kila kitu comfort,luxurious,performance&reliabilty!!

Ukiona nyingi ujue zinapendwa na affordable

Utagundua hata TRA wamezipandishia ushuru hii imepelekea hata resale value yake kuongezeka hivi

Karibuni wapenzi na wamiliki wa crown kene thread!View attachment 2434741


Everybody deserves a Crown [emoji146]

Drop your experience and picture [emoji1484]

[mention]Extrovert [/mention] our brand ambassador [emoji23][emoji91]View attachment 2434742
View attachment 2434743
View attachment 2434744
View attachment 2434745
View attachment 2434746
View attachment 2434747
View attachment 2434748
UNAIJUA Nissan FUGA?
 
Mimi naimini mark x kuliko crown kwangu mimi gari bora za japan kwa Sedan Cars ni MARK X hao wengine wanajikongoja tu!!
Mimi naimini mark x kuliko crown kwangu mimi gari bora za japan kwa Sedan Cars ni MARK X hao wengine wanajikongoja tu!!
Wanaziita sukari ya warembo, body yake lain sema imechongwa poa.
 
Chief..crown ilipewa tuzo ya kua best executive sedam...
Mark x haina inachoizidi crown ...labda ile gear knob ya mark x mdio inavutia
Sasa CROWN anamzidi nini MARK X embu niambie ambacho CROWN anacho alafu MARK x hana ili tuweke ulinganifu mzee tusibishane kwa maneno boss wangu apana bali twende kwa vitnendo dhidi ya maneno
 
Sasa CROWN anamzidi nini MARK X embu niambie ambacho CROWN anacho alafu MARK x hana ili tuweke ulinganifu mzee tusibishane kwa maneno boss wangu apana bali twende kwa vitnendo dhidi ya maneno
Zote ni za generation moja na ni the same engine ..
Uzito zimepishana kidogo ..crown imezidi kidogo this allows it to be more comfortable and stability ipo poa zaidi..all in all kila mtu ana personal interest zake ila muonekano wa crown ni far much better than mark x
 
Hii ni personal preference sio fact
Hio ndio fact hutak hulazimishwi tatizo nyie mnakariri na wote mmeshkiwa na proganda za wana crownia yaani wooote mmechukuliwa na izo propaganda embu siku moja panda MARK x alafu ndo urudi apa tubishane kuhusu ni nini na nani ni nani MARK X KUNA VINGI SANA KAMZIDI MBALI CROWN japo wengi mmekariri tu crown crown,

MARK X NI SEDAN CAR BORA SANA NA BOMBA SANA SANA KWANZA TU LETA RATIO YA AJALI ZA KUPINDUKA KATI YA MARK X NA CROWN LETA IYO RATIO ALAFU NDO NITAKUONGEZEA FACTS NYINGINE
 
Zote ni za generation moja na ni the same engine ..
Uzito zimepishana kidogo ..crown imezidi kidogo this allows it to be more comfortable and stability ipo poa zaidi..all in all kila mtu ana personal interest zake ila muonekano wa crown ni far much better than mark x

Kwan mwonekano wa MARK X una shida gani mkuu yaani si unaongelea mwonekano wa nje mbona mi naona mwonekano wa CROWN ndo wa kilocal ila wa Mnyama X umekaa kibabe fulani ivi yaani umekaa kikushangaza alafu mbona x yuko comfrtable na stable zaidi akiwa barabarani kuliko uyo CROWN.

Kama unabisha check statics za ajali za kupinduka kati ya CROWN na X alafu uje uniambie ipi iko stable zaidi ya mwenzie alafu kama ni swala la speed nadhani unamuelewa mnyama x ama zote zinaweza kulingana ulaji wa mafuta zinalingana engine zote zinatumia za aina moja sasa apa CROWN maajabu yake ni yapi dhidi ya MARK X?
 
Back
Top Bottom