Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,496
Saloon - UKNmekupata Vizuri mkuu
Kuna sehemu umenichanganya
Kwani kuna tofauti ya saloon na sedan?
Sedan - US
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Saloon - UKNmekupata Vizuri mkuu
Kuna sehemu umenichanganya
Kwani kuna tofauti ya saloon na sedan?
Mkuu naomba picha ya Nissan Wingroad "SUV" uliyokuwa nayoUpo sahihi kabisa. Basi tu mm sina flavor na hizo saloon cars. Gari yangu ya kwanza ilikua Grand Mark 2 gx100. Sikuwahi kuenjoy saaana! Always mishe zangu ni vijijini, kila wakati nilikua naonekana kama naendesha taxi tu!
Nikauza nikanunua Nissan Wingroad, pale naweza sema nilikula nayo maisha, na ilinifanya nipende hizi SUV cars. Ingawa wingroad nilipata nayo majanga nikauza (kuna thread yake humu niliielezea)
Kwa sasa nipo na hii Harrier tako la nyani and I can't complain [emoji120]
Tuanzie hapa, mark x model ipi, ya mwaka gani na cc ngapi vs crown model ipi ya mwaka gani yenye cc ipi, kama hujui kuna crown hadi za cc4500 zenye v8Hii ni same pia kene mark x vs crown??
Maana crown ina consumption nzuri compare to mark x the same year.ni issue ya gearbox piaa?
Wajerumani ganiHii sio gari ya kifala hata kidogo kumbuka ni generation ileile kama cresta....hapa hata wale wajerumani huwa wanatulia na wala hawapishani Sana
BMW 320i na 328i.....hizi zote zinafanana na Toyota athlete hasa kwenye comfortability na speed performanceWajerumani gani
328i ni 🔥🔥🔥BMW 320i na 328i.....hizi zote zinafanana na Toyota athlete hasa kwenye comfortability na speed performance
UNAIJUA Nissan FUGA?Moja ya gari pendwa hapa mjini
Ni Executive sedan Inakupa kila kitu comfort,luxurious,performance&reliabilty!!
Ukiona nyingi ujue zinapendwa na affordable
Utagundua hata TRA wamezipandishia ushuru hii imepelekea hata resale value yake kuongezeka hivi
Karibuni wapenzi na wamiliki wa crown kene thread!View attachment 2434741
Everybody deserves a Crown [emoji146]
Drop your experience and picture [emoji1484]
[mention]Extrovert [/mention] our brand ambassador [emoji23][emoji91]View attachment 2434742
View attachment 2434743
View attachment 2434744
View attachment 2434745
View attachment 2434746
View attachment 2434747
View attachment 2434748
inagear 6 forward😎Uipate crown majesta yenye V8 full ruxuly... Mjapan katulia
Mimi naimini mark x kuliko crown kwangu mimi gari bora za japan kwa Sedan Cars ni MARK X hao wengine wanajikongoja tu!!
Wanaziita sukari ya warembo, body yake lain sema imechongwa poa.Mimi naimini mark x kuliko crown kwangu mimi gari bora za japan kwa Sedan Cars ni MARK X hao wengine wanajikongoja tu!!
Kuna ukweli Fulani hapaMimi naimini mark x kuliko crown kwangu mimi gari bora za japan kwa Sedan Cars ni MARK X hao wengine wanajikongoja tu!!
Mimi naimini mark x kuliko crown kwangu mimi gari bora za japan kwa Sedan Cars ni MARK X hao wengine wanajikongoja tu!!
Wale wanaoziba midomo. [emoji28]Wajerumani gani
Chief..crown ilipewa tuzo ya kua best executive sedam...Mimi naimini mark x kuliko crown kwangu mimi gari bora za japan kwa Sedan Cars ni MARK X hao wengine wanajikongoja tu!!
Sasa CROWN anamzidi nini MARK X embu niambie ambacho CROWN anacho alafu MARK x hana ili tuweke ulinganifu mzee tusibishane kwa maneno boss wangu apana bali twende kwa vitnendo dhidi ya manenoChief..crown ilipewa tuzo ya kua best executive sedam...
Mark x haina inachoizidi crown ...labda ile gear knob ya mark x mdio inavutia
Zote ni za generation moja na ni the same engine ..Sasa CROWN anamzidi nini MARK X embu niambie ambacho CROWN anacho alafu MARK x hana ili tuweke ulinganifu mzee tusibishane kwa maneno boss wangu apana bali twende kwa vitnendo dhidi ya maneno
Hio ndio fact hutak hulazimishwi tatizo nyie mnakariri na wote mmeshkiwa na proganda za wana crownia yaani wooote mmechukuliwa na izo propaganda embu siku moja panda MARK x alafu ndo urudi apa tubishane kuhusu ni nini na nani ni nani MARK X KUNA VINGI SANA KAMZIDI MBALI CROWN japo wengi mmekariri tu crown crown,Hii ni personal preference sio fact
Zote ni za generation moja na ni the same engine ..
Uzito zimepishana kidogo ..crown imezidi kidogo this allows it to be more comfortable and stability ipo poa zaidi..all in all kila mtu ana personal interest zake ila muonekano wa crown ni far much better than mark x