Toyota Crown Athlete - ‘the Japanese Benz’

Toyota Crown Athlete - ‘the Japanese Benz’

Ebu tupe darasa kidogo tufanye comparison Kati ya Toyota crown 👑 na gari ya kijerumani sedan yenye CC 2400...
Ndiyo maana nimesema huwa hazipishani Sana na European cars
Dont waste your time, Crown inaweza kusumbua gari za Kijerumani zenye cc chini ya 2000 non-turbo, tena itasumbua mbio fupi, ikipatikana stretch imenyooka hata hizo za cc2000 crown inakaa.

Kuna siku naenda Tanga na Crown maeneo ya Kabuku usiku kama saa tano ghafla naona kuna taa amazing za gari ndogo ziko nyuma yangu.

Tangu nimetoka Dar hakuna gari ilikuwa inanisogelea au kuresist nikitaka kupita. Baada ya kuona hizo taa nikaanza kukaza, kila nikikukuruka jamaa yupo tu 160/170 jamaa yupo nikaona isiwe tabu ngoja nione gari gani, nikalegeza mguu jamaa akatanua kucheki Audi A4 2.0T nikamuacha aende.
 
Ebu tupe darasa kidogo tufanye comparison Kati ya Toyota crown 👑 na gari ya kijerumani sedan yenye CC 2400...
Ndiyo maana nimesema huwa hazipishani Sana na European cars
Cc2400 Crown haitii pua tena hizi za 4gr ndio urojo kabisa. Kuna bmw 1series au 3 series tu yenye N52 engine balaa.
cc Mad Max
 
Dont waste your time, Crown inaweza kusumbua gari za Kijerumani zenye cc chini ya 2000 non-turbo, tena itasumbua mbio fupi, ikipatikana stretch imenyooka hata hizo za cc2000 crown inakaa. Kuna siku naenda Tanga na Crown maeneo ya Kabuku usiku kama saa tano ghafla naona kuna taa amazing za gari ndogo ziko nyuma yangu. Tangu nimetoka Dar hakuna gari ilikuwa inanisogelea au kuresist nikitaka kupita. Baada ya kuona hizo taa nikaanza kukaza, kila nikikukuruka jamaa yupo tu 160/170 jamaa yupo nikaona isiwe tabu ngoja nione gari gani, nikalegeza mguu jamaa akatanua kucheki Audi A4 2.0T nikamuacha aende.

[emoji23][emoji23][emoji23]

Nmecheka lkn nazani ulivocheki logo ya Audi

Ukajisemea kimoyomoyo… ”hata nisijichoshe”

Acha iende,kila mnyonge na mnyonge wake acha nisubiri alphard na vanguard tuvimbiane[emoji28]
 
Kwanza tuanze top speed Mjerumani ni 240-260.

AMG anafika mpk 320km/hr
IMG_9817.jpg
 
Dont waste your time, Crown inaweza kusumbua gari za Kijerumani zenye cc chini ya 2000 non-turbo, tena itasumbua mbio fupi, ikipatikana stretch imenyooka hata hizo za cc2000 crown inakaa. Kuna siku naenda Tanga na Crown maeneo ya Kabuku usiku kama saa tano ghafla naona kuna taa amazing za gari ndogo ziko nyuma yangu. Tangu nimetoka Dar hakuna gari ilikuwa inanisogelea au kuresist nikitaka kupita. Baada ya kuona hizo taa nikaanza kukaza, kila nikikukuruka jamaa yupo tu 160/170 jamaa yupo nikaona isiwe tabu ngoja nione gari gani, nikalegeza mguu jamaa akatanua kucheki Audi A4 2.0T nikamuacha aende.
Ulifanya jambo la busara, ungekaza angekulamba tu.
 
waste your time, Crown inaweza kusumbua gari za Kijerumani zenye cc chini ya 2000 non-turbo, tena itasumbua mbio fupi, ikipatikana stretch imenyooka hata hizo za cc2000 crown inakaa. Kuna siku naenda Tanga na Crown maeneo ya Kabuku usiku kama saa tano ghafla naona kuna taa amazing za gari ndogo ziko nyuma yangu. Tangu nimetoka Dar hakuna gari ilikuwa inanisogelea au kuresist nikitaka kupita. Baada ya kuona hizo taa nikaanza kukaza, kila nikikukuruka jamaa yupo tu 160/170 jamaa yupo nikaona isiwe tabu ngoja nione gari gani, nikalegeza mguu jamaa akatanua kucheki Audi A4 2.0T nikamuacha aende.
Hahahaha 🤣🤣🤣🤣 Japanese Benz wanyonge wake ni sisi wajapan wenzake akina rumion
 
[emoji23][emoji23][emoji23]

Nmecheka lkn nazani ulivocheki logo ya Audi

Ukajisemea kimoyomoyo… ”hata nisijichoshe”

Acha iende,kila mnyonge na mnyonge wake acha nisubiri alphard na vanguard tuvimbiane[emoji28]
Sometimes ukiwa highway ni Bora uwe mpole Tu hawa wajapan wapo kwajili ya kukufisha kariakoo na kurudi
 
[emoji23][emoji23][emoji23]

Nmecheka lkn nazani ulivocheki logo ya Audi

Ukajisemea kimoyomoyo… ”hata nisijichoshe”

Acha iende,kila mnyonge na mnyonge wake acha nisubiri alphard na vanguard tuvimbiane[emoji28]
Muhimu kujua limit yako.
 
Moja ya gari pendwa hapa mjini

Ni Executive sedan Inakupa kila kitu comfort,luxurious,performance&reliabilty!!

Ukiona nyingi ujue zinapendwa na affordable

Utagundua hata TRA wamezipandishia ushuru hii imepelekea hata resale value yake kuongezeka hivi

Karibuni wapenzi na wamiliki wa crown kene thread!View attachment 2434741


Everybody deserves a Crown [emoji146]

Drop your experience and picture [emoji1484]

[mention]Extrovert [/mention] our brand ambassador [emoji23][emoji91]View attachment 2434742
View attachment 2434743
View attachment 2434744
View attachment 2434745
View attachment 2434746
View attachment 2434747
View attachment 2434748
Zikishuka bei hiyo ndinga nicheki! Sie wapenda vitonga
 
Back
Top Bottom