mzee kuna muda amefika hadi 300km/h ila hamuoni mnyama wa 2jZ-gte alipopita, ile gtx turbo inazalisha 800HP kudadadeki 😀 😀 😀 😀 😀 hio Mark 2 inatembelea above 600HP wazee sio poa
Hii video imefanya comments ziwe chache sana kwa upande wa wajeremaniiii..... hahahahamzee kuna muda amefika hadi 300km/h ila hamuoni mnyama wa 2jZ-gte alipopita, ile gtx turbo inazalisha 800HP kudadadeki 😀 😀 😀 😀 😀 hio Mark 2 inatembelea above 600HP wazee sio poa
Achukue wa wapi mkuu na wewe uchukue wapi??? Naona sentence haina uhalisia hii...Chukua MarkII stock na mie niweke Aristo Stock tuumwage mwingi alaf uone
umeuliza swali kitemi sana 😀 😀 😀 😀 😀Achukue wa wapi mkuu na wewe uchukue wapi??? Naona sentence haina uhalisia hii...
wajerumani wamepoteana 😀 kichapo kimetembea bila hurumaHii video imefanya comments ziwe chache sana kwa upande wa wajeremaniiii..... hahahaha
hahahahahah huo umeme unatembea zaidi ya 350km/h very smoothlyKwani ndege ndogo za starlink zinapaa kuanzia ground speed ngapi [emoji23]…naona iyo mark 2 inatakiwa itake off [emoji1787]
hahahahah 2JZ-GTE bonge moja la racing machine 😀 hio toka 90's mpaka kesho, ikiwa stock ni 280HP ikifungwa turbo kubwa inakuwa jiniJamaaa yuko 220km/hr lkn mwamba anapita kama wamesimama[emoji91][emoji91][emoji119]
TRA wakiweka kodi zao ni bei ya LC 200Umeona unyama huu.. Ila sio bei ya kizalendo [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] limiter haipo mwanawane unachapa badi 280 kifuani 3.5L
View attachment 2441738
Extrovert
Mie Aristo ninayo sijui yeye ndg yanguAchukue wa wapi mkuu na wewe uchukue wapi??? Naona sentence haina uhalisia hii...
Hapo sawa mkuu na hongera sana...Mie Aristo ninayo sijui yeye ndg yangu
Ha ha ha mzee ukaamua uache kushupaza shingo 🤣🤣Dont waste your time, Crown inaweza kusumbua gari za Kijerumani zenye cc chini ya 2000 non-turbo, tena itasumbua mbio fupi, ikipatikana stretch imenyooka hata hizo za cc2000 crown inakaa. Kuna siku naenda Tanga na Crown maeneo ya Kabuku usiku kama saa tano ghafla naona kuna taa amazing za gari ndogo ziko nyuma yangu. Tangu nimetoka Dar hakuna gari ilikuwa inanisogelea au kuresist nikitaka kupita. Baada ya kuona hizo taa nikaanza kukaza, kila nikikukuruka jamaa yupo tu 160/170 jamaa yupo nikaona isiwe tabu ngoja nione gari gani, nikalegeza mguu jamaa akatanua kucheki Audi A4 2.0T nikamuacha aende.
Get both tuned or stock.I know ni tuned, kwani we video unaonaje inavyotembea, unaona inapepesuka?
Aisee nimeangalia jamaa amefika 304km/hr halafu mark II imepotea haionekani... Mark II imevurugwa ikavurugika..Hii Mark 2 iliwachapa sana mzee 😂😂😂 hadi aibu! Walinyooka sana sema itakuwa hata suspension wamefunga za sports.
Issue ilikuwa jamaa analeta ngonjera kwamba Aristo ina handle power kubwa kwa sababu ina body nzito kuliko gari nyingine zenye 2jz, thats why nimeweka hio video ya Mark II ina power ya kutosha na inatembea kweri kweri na ipo stable...Get both tuned or stock.
That will be the best comparison.
Labda Benz za Biafra..Cha ajabu Lexus ina offer more comfort at a cheaper TAG than Benz
Wadau wa Toyota mnawaza gari ni mbio tuu.. Gari ni zaidi ya mbio..!wajerumani wamepoteana 😀 kichapo kimetembea bila huruma
Heated seat kwako ni zagazaga mkuu??? Mark x ya mwaka 2004 huko ina hiyo feature na toyota zingineWadau wa Toyota mnawaza gari ni mbio tuu.. Gari ni zaidi ya mbio..!
Wajerumani ndio tunawazidi hapo.. Gari inamazagazaga ya kutosha..hapa kuna heated seats..mara massage..!
Toyota hazina ladha..!
Heated seat Africa za nini, hasa Dar Es Salaam, nyie wajerumani acheni ubishoo, Sie AC tu inatosha..Wadau wa Toyota mnawaza gari ni mbio tuu.. Gari ni zaidi ya mbio..!
Wajerumani ndio tunawazidi hapo.. Gari inamazagazaga ya kutosha..hapa kuna heated seats..mara massage..!
Toyota hazina ladha..!
Nina Vitz New Model ya 2009 ina turbo lakini...Mie Aristo ninayo sijui yeye ndg yangu