KndNo1
JF-Expert Member
- Oct 26, 2021
- 627
- 2,049
Yes zagazaga.. Upewe nini tena kwenye gari..Heated seat kwako ni zagazaga mkuu??? Mark x ya mwaka 2004 huko ina hiyo feature na toyota zingine
Itakuwa ya kupachika hiyo..!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes zagazaga.. Upewe nini tena kwenye gari..Heated seat kwako ni zagazaga mkuu??? Mark x ya mwaka 2004 huko ina hiyo feature na toyota zingine
Aisee bonge la feature.. Unaweza kupanda na nguo haijapigwa pasi ila ukashuka nguo imenyooka..!Heated seat Africa za nini, hasa Dar Es Salaam, nyie wajerumani acheni ubishoo, Sie AC tu inatosha..
Umekariri mkuu na maisha ni kujifunzaYes zagazaga.. Upewe nini tena kwenye gari..
Itakuwa ya kupachika hiyo..!
Umeiona hiyo mkuu? Ni kitu cha kawaida sana hikiYes zagazaga.. Upewe nini tena kwenye gari..
Itakuwa ya kupachika hiyo..!
Kapachike na wewe hii feature mkuu, tunaongelea gari ya 2004 huko ilikuja na hii kitu, sijui hata kama unajua kazi yake...Yes zagazaga.. Upewe nini tena kwenye gari..
Itakuwa ya kupachika hiyo..!
Rs zipo vzr, tafuta Ractis kacheze nazo nisije kukuulia gari bure (natania)Nina Vitz New Model ya 2009 ina turbo lakini...
Fuatilia kwa makini, utakuja kugundua Lexus LS ndio aliset standard of Luxury toka kitambo.Labda Benz za Biafra..
Comfort ya Benz huwezi duplicate..!
Hio ni mark X tu, akigusa Lexus atashangaa huenda ni feature ilikuwapo toka early 90's kipindi hata Benz hajawaza hio kitu.Heated seat kwako ni zagazaga mkuu??? Mark x ya mwaka 2004 huko ina hiyo feature na toyota zingine
Nimemshangaa huyu ndugu, rx 300 za 1998 Zina hii feature, yeye kakuta juzi kwenye gari ya ujerumani anaona ni kitu kipya hadi anakuambia inyoosha kabisa na shati... ushamba mzgoHio ni mark X tu, akigusa Lexus atashangaa huenda ni feature ilikuwapo toka early 90's kipindi hata Benz hajawaza hio kitu.
Umekariri mkuu na maisha ni kujifunza
Hakuna nilichokariri..Umeiona hiyo mkuu? Ni kitu cha kawaida sana hikiView attachment 2444180
Siwezi kujua.. Kimepauka sana.. Shivo tofauti na OG..!Kapachike na wewe hii feature mkuu, tunaongelea gari ya 2004 huko ilikuja na hii kitu, sijui hata kama unajua kazi yake...View attachment 2444183
Fuatilia kwa makini, utakuja kugundua Lexus LS ndio aliset standard of Luxury toka kitambo.
Hahaha aisee unajua mpaka leo Lexus bado anasoma notes za Mercedes.. Na bado hajafaulu..!Hio ni mark X tu, akigusa Lexus atashangaa huenda ni feature ilikuwapo toka early 90's kipindi hata Benz hajawaza hio kitu.
Unaendekeza mahaba tatizoHahaha aisee unajua mpaka leo Lexus bado anasoma notes za Mercedes.. Na bado hajafaulu..!
Mjerumani ni pioneer wa hizo mambo..!
Hujui Camry wewe, hiyo athlete crown inasubiriMoja ya gari pendwa hapa mjini
Ni Executive sedan Inakupa kila kitu comfort,luxurious,performance&reliabilty!!
Ukiona nyingi ujue zinapendwa na affordable
Utagundua hata TRA wamezipandishia ushuru hii imepelekea hata resale value yake kuongezeka hivi
Karibuni wapenzi na wamiliki wa crown kene thread!View attachment 2434741
Everybody deserves a Crown [emoji146]
Drop your experience and picture [emoji1484]
[mention]Extrovert [/mention] our brand ambassador [emoji23][emoji91]View attachment 2434742
View attachment 2434743
View attachment 2434744
View attachment 2434745
View attachment 2434746
View attachment 2434747
View attachment 2434748
Naona hapo pamekuumiza..Nimemshangaa huyu ndugu, rx 300 za 1998 Zina hii feature, yeye kakuta juzi kwenye gari ya ujerumani anaona ni kitu kipya hadi anakuambia inyoosha kabisa na shati... ushamba mzgo
Lexus affordable na reliable tuu.. Comfortability na Moto ni kwa Wajerumani..!Unaendekeza mahaba tatizo
Hii gear knob...hapa waliua 👐🏽👐🏽Umeiona hiyo mkuu? Ni kitu cha kawaida sana hikiView attachment 2444180