Toyota Crown Athlete - ‘the Japanese Benz’

Toyota Crown Athlete - ‘the Japanese Benz’

Afu saiv naanza kuwasalimia wenye allion au premio coz used ya premio iko juu kuliko ma crown yenu crown niliwai kuendesha aina comfort zaid ya mataaaa taaa ty premio oyeeeeh
 
Ha ha ha hii ni vita ya wenyewe Kwa wenyewe...Wajapan wanachapana
Cc Extrovert
Wameshiba hao, sikio haliwezi zidi kichwa! Gari yenye horsepower 2OO+ ukailinganishe na kagari kenye less than 145HP kweli? Bei sio ishu sababu demand na supply ndio inaamua.

Wabongo wengi wanapenda gari isiokula mafuta sana na imara. Premio ni moja ya hizo gari ambayo inanunuliwa sana. Lazma bei iwe juu.
 
Wameshiba hao, sikio haliwezi zidi kichwa! Gari yenye horsepower 2OO+ ukailinganishe na kagari kenye less than 145HP kweli? Bei sio ishu sababu demand na supply ndio inaamua.

Wabongo wengi wanapenda gari isiokula mafuta sana na imara. Premio ni moja ya hizo gari ambayo inanunuliwa sana. Lazma bei iwe juu.
Wamekosa IQ ya kung'amua ulichosema kwenye Aya ya mwisho.
 
Samahani mkuu ila crown nadhani kuelekea 2023 tungeacha kuziongelea maana gari inauzwa mpaka mil6 bwana ila samahani sana kama nimekugusa gari ni gari ila tusianze kubrag kuhusu crown its not a car to brag.
Samahani sana mzee ila una poor reasoning sana, ukizungumzia crown hebu refer hili gari hapa. Acha kuongelea outdated cars za mwaka 2009 huko.
images.jpeg
 
Kwa hiyo umekuja kututangazia kuwa umenunua crown au? Kuelekea 2023 naomba tuache kuongelea hizo gari ambazo mpaka uzipimp ndio zipendeze ni cheap sana mpaka mil6 unapata tena unaambiwa haina kipengele[emoji1787]
Kwahiyo ww unahis crown zote n toleo moja tu na zote ni mil 19 to 16???

Nakushaur ukakanyage mafuta
 
Samahani sana mzee ila una poor reasoning sana, ukizungumzia crown hebu refer hili gari hapa. Acha kuongelea outdated cars za mwaka 2009 huko.
View attachment 2450311
Sawa mkuu lakini tunaongelea crown zinazotumiwa sana hapa bongo yaani royal na athlete hizi za kawaida hizo picha unazotuwekea mbona hatuzioni mjini, vivyo hivyo benz basi tuzungumzie vitu kama G-wagon hivi sasa, utabaki au utachimba, au hii kitu apo chini ni c-class C250 Avantegarde Auto, chuma inanusa mafuta 5l per 100 km so efficiently na spidi ni mshale.
 

Attachments

  • 2015-Mercedes-Benz-C-Class-C-250-Avantgarde-Auto.jpg
    2015-Mercedes-Benz-C-Class-C-250-Avantgarde-Auto.jpg
    47.3 KB · Views: 30
Sawa mkuu lakini tunaongelea crown zinazotumiwa sana hapa bongo yaani royal na athlete hizi za kawaida hizo picha unazotuwekea mbona hatuzioni mjini, vivyo hivyo benz basi tuzungumzie vitu kama G-wagon hivi sasa, utabaki au utachimba, au hii kitu apo chini ni c-class C250 Avantegarde Auto, chuma inanusa mafuta 5l per 100 km so efficiently na spidi ni mshale.
Sasa unaposema Athlete inauzwa million 6 hebu onesha show room au agiza kwa million 6 hio gari uitoe bandarini utembelee. Huwezi iona hio Crown ya mwaka 2022 sababu wanayomudu bei yake na kodi ni wachache sana. Wengine hawaijui kabisa
 
Uzi ni mzuri ila kuweka neno benz ushafeli..unafananishaje benz na crown how yaan? Ebu dadavua kidogo. Benz ni benz huwezi kufananisha na crown, crown ni cheap car saaaaana kiufupi ni ya vijana ambao bado hawana heraa. Ungesema tako la nyani angalau tungekuelewa. Ila utakua kijana wa daslaam wewe ukilala unaota crown tu #bloodbastad
Very poor mind😀
 
Back
Top Bottom