ozigizaga
JF-Expert Member
- Sep 6, 2013
- 701
- 1,703
ndo maana zipo za 140kph, 160kph, 180kph, 200kph na kuendelea... unanunua Kadri ya mapenzi yako na mfuko wako mkuu...Speed yote hii unakimbilia wap
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndo maana zipo za 140kph, 160kph, 180kph, 200kph na kuendelea... unanunua Kadri ya mapenzi yako na mfuko wako mkuu...Speed yote hii unakimbilia wap
Ha ha ha hii ni vita ya wenyewe Kwa wenyewe...Wajapan wanachapanaAfu saiv naanza kuwasalimia wenye allion au premio coz used ya premio iko juu kuliko ma crown yenu crown niliwai kuendesha aina comfort zaid ya mataaaa taaa ty premio oyeeeeh
Wameshiba hao, sikio haliwezi zidi kichwa! Gari yenye horsepower 2OO+ ukailinganishe na kagari kenye less than 145HP kweli? Bei sio ishu sababu demand na supply ndio inaamua.Ha ha ha hii ni vita ya wenyewe Kwa wenyewe...Wajapan wanachapana
Cc Extrovert
Wamekosa IQ ya kung'amua ulichosema kwenye Aya ya mwisho.Wameshiba hao, sikio haliwezi zidi kichwa! Gari yenye horsepower 2OO+ ukailinganishe na kagari kenye less than 145HP kweli? Bei sio ishu sababu demand na supply ndio inaamua.
Wabongo wengi wanapenda gari isiokula mafuta sana na imara. Premio ni moja ya hizo gari ambayo inanunuliwa sana. Lazma bei iwe juu.
Samahani sana mzee ila una poor reasoning sana, ukizungumzia crown hebu refer hili gari hapa. Acha kuongelea outdated cars za mwaka 2009 huko.Samahani mkuu ila crown nadhani kuelekea 2023 tungeacha kuziongelea maana gari inauzwa mpaka mil6 bwana ila samahani sana kama nimekugusa gari ni gari ila tusianze kubrag kuhusu crown its not a car to brag.
Gari iliotoka mwaka huu Crown Platinum imesheheni all bells and whistles. Comfort, mwendo na kila kitu. Hebu anioneshe mtu premio ya 2022 ambayo ina features zaidi ya crown.Wamekosa IQ ya kung'amua ulichosema kwenye Aya ya mwisho.
Kwahiyo ww unahis crown zote n toleo moja tu na zote ni mil 19 to 16???Kwa hiyo umekuja kututangazia kuwa umenunua crown au? Kuelekea 2023 naomba tuache kuongelea hizo gari ambazo mpaka uzipimp ndio zipendeze ni cheap sana mpaka mil6 unapata tena unaambiwa haina kipengele[emoji1787]
Sijauliza ziko speed zipi na pizi wala bei , nimeuliza speed yote ile unakimbilia wapi?? Au hujui kiswahil?ndo maana zipo za 140kph, 160kph, 180kph, 200kph na kuendelea... unanunua Kadri ya mapenzi yako na mfuko wako mkuu...
Sawa mkuu lakini tunaongelea crown zinazotumiwa sana hapa bongo yaani royal na athlete hizi za kawaida hizo picha unazotuwekea mbona hatuzioni mjini, vivyo hivyo benz basi tuzungumzie vitu kama G-wagon hivi sasa, utabaki au utachimba, au hii kitu apo chini ni c-class C250 Avantegarde Auto, chuma inanusa mafuta 5l per 100 km so efficiently na spidi ni mshale.Samahani sana mzee ila una poor reasoning sana, ukizungumzia crown hebu refer hili gari hapa. Acha kuongelea outdated cars za mwaka 2009 huko.
View attachment 2450311
Unatakiwa u specify unaongelea crown ya mwaka gani otherwise unaonekana kama mropokaji tu, wabongo tuna akili mgando sana🤦Sikuizi ukiwa na crown hata pisi utang'oa walevi tu na wadangaji. Tafuta hera ung'oe pisi zinazojielewa
😅😅😅 au tuwaache tuSamahani sana mzee ila una poor reasoning sana, ukizungumzia crown hebu refer hili gari hapa. Acha kuongelea outdated cars za mwaka 2009 huko.
View attachment 2450311
Pia unatakiwa ujue unaongelea Mercedes benz ya mwaka gani. ili kupata uwiano sawaUnatakiwa u specify unaongelea crown ya mwaka gani otherwise unaonekana kama mropokaji tu, wabongo tuna akili mgando sana🤦
Sasa unaposema Athlete inauzwa million 6 hebu onesha show room au agiza kwa million 6 hio gari uitoe bandarini utembelee. Huwezi iona hio Crown ya mwaka 2022 sababu wanayomudu bei yake na kodi ni wachache sana. Wengine hawaijui kabisaSawa mkuu lakini tunaongelea crown zinazotumiwa sana hapa bongo yaani royal na athlete hizi za kawaida hizo picha unazotuwekea mbona hatuzioni mjini, vivyo hivyo benz basi tuzungumzie vitu kama G-wagon hivi sasa, utabaki au utachimba, au hii kitu apo chini ni c-class C250 Avantegarde Auto, chuma inanusa mafuta 5l per 100 km so efficiently na spidi ni mshale.
Very poor mind😀Uzi ni mzuri ila kuweka neno benz ushafeli..unafananishaje benz na crown how yaan? Ebu dadavua kidogo. Benz ni benz huwezi kufananisha na crown, crown ni cheap car saaaaana kiufupi ni ya vijana ambao bado hawana heraa. Ungesema tako la nyani angalau tungekuelewa. Ila utakua kijana wa daslaam wewe ukilala unaota crown tu #bloodbastad
unaniuliza mimi umeona ndo naendesha hiyo gari?? mpigie mwenyewe muulize anakimbilia wapi +9056386527Sijauliza ziko speed zipi na pizi wala bei , nimeuliza speed yote ile unakimbilia wapi?? Au hujui kiswahil?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ha ha ha kwahio ukitupita kwenye hio Harrier yako unaamini tunaendesha Crown kwasababu hatu-afford tako la nyami. Vijana mna safari ndefu sana.
😅😅😅 au tuwaache tuView attachment 2450423View attachment 2450424