100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 4,766
- 16,191
Unazungumzia harrier za 2008/9 vs crown za 2004.Uzi ni mzuri ila kuweka neno benz ushafeli..unafananishaje benz na crown how yaan? Ebu dadavua kidogo. Benz ni benz huwezi kufananisha na crown, crown ni cheap car saaaaana kiufupi ni ya vijana ambao bado hawana heraa. Ungesema tako la nyani angalau tungekuelewa. Ila utakua kijana wa daslaam wewe ukilala unaota crown tu #bloodbastad
Crown bei ipo juu