100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 4,766
- 16,191
Hii ndio inapelekea mtu anafananisha gari na chombo cha usafiri, kwa ufupi tu ni umasikiniPia demand ina dictate bei, demand ya used Toyota kwa nchi Tz ni kubwa ndio maana bei zake zinakuwa juu, ni sawa na demand ya used IST ni kubwa kuliko Crown hivyo bei ya IST itakuwa juu tu.
Usiwe na hela za mawazoSahihi crown ni gari ya starehe.
Kakaa waarabu wamebarikiwa utajiri ila kikwetukwetu benz ni expensive bwana shida sio kununua shida ni kuimantain, no cheap spares no cheap servis au utaipaki mazima[emoji1][emoji1]
Nakumbuka waarabu huko middle east walikuwa wanaiita Benz ya kimasikini miaka ya nyuma sana
Nilipoona hiyo nikakumbuka
Sahihi mkuu.Usiwe na hela za mawazo
Mm ntaanza maisha na premio au run x...nikijaaliwa zaidi navuta foresterSahihi mkuu.
Hayo madude siyakubali. Sijui kwanini. Nadhani nimeathirika kisaikolojia najikuta nazichukia sana Saloon cars, hasa baada ya kukaa sana vijijini na kila mtu kuziita "Taxi".
Yani unaweza ukawa na chuma lako Mark X limesimama hatari. Ukipita nalo Mpitimbi au kule Kigonsera kila mwanakijiji anakupa jina, " Yule blaza mwenye taxi kapita sasa hivi" [emoji23][emoji23]
All in all, crown zimekuja kama upepo tu wa kisuri suri kama zilivyokujaga Verossa, Baloon na Mark X.. Fashion yake itapita na zitaanza kuonekana kama mtumba tu!
Zote zipo vizuri mkuu...Mm ntaanza maisha na premio au run x...nikijaaliwa zaidi navuta forester
Umekosea kitu kimoja tu. Hizo ulizosema zimepita ni gari moja. Yaani Mark2,Verossa then ikageuka Mark X.
Ila Crown ni Crown haitapotea kama Verossa au Mark 2. Crown itaendelea kuwepo zikija new models tu.
Kibongobongo watu wametoka grs180/182 wameingia grs200 na zitaemdelea hivyo bila kupotea Jina na nembo ya Crown. It's a flagship for Japanese sedan.
wenye 3gr tupo mkuu, ila sijatumiaga 4gr so siwezi kujua utofauti wake upoje... ukitembea mwendo wa serikali full tank inatembea 600+kmMkuu si tumekubaliana apo juu tusiangalie cc [emoji23]
Mbona sielewi hapa
Crown 3GR 3000cc Vs 4GR 2500cc fuel consump [emoji618]️
Kwani hamna wenye 3GR humu????
Dah hahahahUmekosea kitu kimoja tu. Hizo ulizosema zimepita ni gari moja. Yaani Mark2,Verossa then ikageuka Mark X.
Ila Crown ni Crown haitapotea kama Verossa au Mark 2. Crown itaendelea kuwepo zikija new models tu.
Kibongobongo watu wametoka grs180/182 wameingia grs200 na zitaemdelea hivyo bila kupotea Jina na nembo ya Crown. It's a flagship for Japanese sedan.
wenye 3gr tupo mkuu, ila sijatumiaga 4gr so siwezi kujua utofauti wake upoje... ukitembea mwendo wa serikali full tank inatembea 600+km
Zipo mkuu,ninayo GRS 181,YOM 2005,4WD,heated seats zipo mbele na nyuma,sunroof,cooling box,Hivi kuna Crown 4GR yenye G packages ?
Maana kuna mwamba alikuwa anataka yenye heated seat lkn tumetafuta site zote hakuna yenye 4GR
Na vipi mwenye uzoefu wa fuel consumption 3GR ukoje
Is there remarkable difference btn 4GR vs 3GR
Well said bro!nimetoka kumjibu mtu hiki kitu juzi.Naomba watu mnaozungumzia ulaji wa mafuta muachane na Crown. Ukiendesha Crown hutafuti fuel consumption, huko ni mwendo na starehe. Kama unataka fuel consumption ni afadhali uende kwa akina IST,Premio and the like.
Nimekupata ngoja takujulisha soon.Nmetafuta bila mafanikio hii
Mkuu nisidie site tofauti na
-beforward
-SBT
-enhance auto
-japannesevehicle
-autocom
Ingia beforward chap nimeipata moja nyeusiNimekupata ngoja takujulisha soon.
Yaaan sio poa af yanashuka thaman vibaya mno European cars ziko juu always performance yaaan kila kitu Japanese cars zinapata soko kubwa sabab wanaproductovity kubwa kulinganisha na European inatoa kitu kdg with something goodHayo madude siyakubali. Sijui kwanini. Nadhani nimeathirika kisaikolojia najikuta nazichukia sana Saloon cars, hasa baada ya kukaa sana vijijini na kila mtu kuziita "Taxi".
Yani unaweza ukawa na chuma lako Mark X limesimama hatari. Ukipita nalo Mpitimbi au kule Kigonsera kila mwanakijiji anakupa jina, " Yule blaza mwenye taxi kapita sasa hivi" [emoji23][emoji23]
All in all, crown zimekuja kama upepo tu wa kisuri suri kama zilivyokujaga Verossa, Baloon na Mark X.. Fashion yake itapita na zitaanza kuonekana kama mtumba tu!