Toyota Crown Athlete - ‘the Japanese Benz’

Toyota Crown Athlete - ‘the Japanese Benz’

Hayo madude siyakubali. Sijui kwanini. Nadhani nimeathirika kisaikolojia najikuta nazichukia sana Saloon cars, hasa baada ya kukaa sana vijijini na kila mtu kuziita "Taxi".

Yani unaweza ukawa na chuma lako Mark X limesimama hatari. Ukipita nalo Mpitimbi au kule Kigonsera kila mwanakijiji anakupa jina, " Yule blaza mwenye taxi kapita sasa hivi" [emoji23][emoji23]

All in all, crown zimekuja kama upepo tu wa kisuri suri kama zilivyokujaga Verossa, Baloon na Mark X.. Fashion yake itapita na zitaanza kuonekana kama mtumba tu!
Mkuu upo sahihi watu wengi vijijini kila saloon car wanaita tax
 
IMG_3887.jpg

New arrivals!

Japannese Benz G-Packages [emoji298]️
 
Ola wakulungwa eeeh nimechukua crown ina kama mwezi hivi ila gari inavuma sana nimekagua miguu yote ikosawa itakuwa nini wadau au hizi tairi zilizokuja na gari
Crown Ni Gari isiyoingiza kelele ndani, au kelele chache ikipita rough road Au lami Mbaya. Ushauri, badilisha tires, bush nk peleka kwa fundi waikague ingiza road
 
Ola wakulungwa eeeh nimechukua crown ina kama mwezi hivi ila gari inavuma sana nimekagua miguu yote ikosawa itakuwa nini wadau au hizi tairi zilizokuja na gari

Tairi saizi ngapi na ni aina gani

Yangu ilikuja na BridgeStone 225/45R18

Nlitoa nkaweka Triangle za mchina aseee nmetoa
Zinavuma sana ile kashata hapana

So nmerudisha zangu Bridgestone
Nmeshauriwa niweke kati ya hizi
-Dunlop
-Goodyear
-Michelin
-Continental
-Au Bridgestones yenyewe

Japo bei zimesimama tyre moja inaanzia laki3

Ila
-Joyroad na Trackmac ni laki1.70
-ceat ya india laki 3
-kapsen laki 2.25
-Hillo na Triangle ni laki 2 mpaka 2.30
 
Tairi saizi ngapi na ni aina gani

Yangu ilikuja na BridgeStone 225/45R18

Nlitoa nkaweka Triangle za mchina aseee nmetoa
Zinavuma sana ile kashata hapana

So nmerudisha zangu Bridgestone
Nmeshauriwa niweke kati ya hizi
-Dunlop
-Goodyear
-Michelin
-Continental
-Au Bridgestones yenyewe

Japo bei zimesimama tyre moja inaanzia laki3

Ila
-Joyroad na Trackmac ni laki1.70
-ceat ya india laki 3
-kapsen laki 2.25
-Hillo na Triangle ni laki 2 mpaka 2.30
Mkuu ni bridge stone mbele nyuma dunlop upande wa kushoto na wakulia ni continental ila zote vipara kasoro tyre moja so nikibadisha nikiweka mpya Dunlop au good year iyo kero itaisha
 
Mkuu ni bridge stone mbele nyuma dunlop upande wa kushoto na wakulia ni continental ila zote vipara kasoro tyre moja so nikibadisha nikiweka mpya Dunlop au good year iyo kero itaisha

Hapo sina jibu mkuu
Lakini ni vizuri uweke tairi za aina moja
Then fanya wheel balance and alignment

kama vipara badili kwa usalama wako
Au njoo nkupe hizi bridgestone zilizokuja na gari
Sio kipara ila ni za 2017 so nataka kuweka mpya
 
Ngoja nikupe facts why crown ni better kuliko mark x

Crown ina space kubwa ndani kuliko mark x, nia pana zaidi, hata. Ukiingiia kwa hizi gari mbili utajionea

Crown ina more comfortable seats kuliko mark x, mark x ni pure sport car ina sport seats, which are comfortable ila sio kwa level za crown, bro, tena ukutane na royal saloon G package ndo kabisaaaa bala zito

Crown ina soft suspension hasa royal saloon mneso wa mule ndani sio poa kaka, mar x ni sport executive sedan inakuja na stiff suspension bro

Crown ina advanced stability control kuliko mark x bro ndo mana crown jnaweza kata kona na speed kali bila gari kuvuta upande mmoja, mark x huwa inavuta upande mmoja ukikaga kona na speed kubwa na pia mark x ni nyepesi kuliko koz ina 1500 na crown ina 1620kg crown stability sio nzuri kuliko crown

Crown ina active noise colancelation kelele za nje haziingii ndani ni presidential level kaka, ndo japanese lemuosine ha viongozi waaandamizi japan koz ni full size executive sedan

Crown ina body ngumu kuliko mark x na mfano G package inakuja mpka na 8airbags

Tukija kwa grs200 wanapenda kuziita new model ina tech ambazk huwezi zipata kwa mark x bro

Ina radar cruise control inayotumia gps data kaka sio poa, na ndio gari y kwanza kuwa na hii tech duniani mnamo miaka ya 2008

Crown grs200 ndo gari ya kwanza duniani kuwa na air bag katikati ya siti ya dereva na abiria, kwenye ajali msigongane mkaumizana


Crown Grs200 ndo gari ya kwanza duniani kuwa na collision avoidence system ukitaka kugonga kitu au gari ya mbele inapiga alarm afu inachaji brake ukikanyaga tu unapata instant brakes mzee baba

Crown grs200 ndo gari ya kwanza duniani kuwa na pedestrian detection hugongi mtu kaka inapiga alarm

Crown grs200 ndo gari ya kwanza duniani kuwa na driver monitoring system inapima kama macho ya dereva yako wazi hujasinzia na inafanya kazi hata usiku na ukimwa umevaa sunglass, ukilala tu inapiga alarm sio poa

Hizo features zote hapo hamna mark x yenye nazo

Generaly crown ni full size executive sedan yenye presidential levels inakuwa compared na benz E class, bmw 5series, aud a6, jagaur xf, nissan fuga, lexus gs,

Ila mark x ni compact executive sport haina presidetial levels of comfort inakuwa compared na bmw 3series, aud a4, nissan skyline, mazda 6, benz c class

Na hapo sijagusia toyota crown majesta level za S class hizo mzee baba starehe ya humo sio poaa

Crown ku share engine na mark x hakuifanyi hizi gari ziwe sawa,

Benz E class ina 1790cc M271 engine same ipo kwenye c class ,ila haifanyi c class iwe sawa na E class eti kisa zina share engine

Mark x ni gari nzuri kama unapenda sport looking sedan yenye comfort nzuri

Ila kama unataka maximum comfort, stability, handling, space toyota crown ni balaa zito mzee baba

Mimi mi DRMECHANICS_TZ

Utanipata instagram kwa hilo jina na tiktok pia youtube kuna review kali snaa za magari nimefanga account inaitwa ROC TV

NAWASILISHA
Screenshot_20230927_153126_Chrome.jpg

Saloon Royal ndio hii boss hebu tupe vipi gharama za spare parts zake na ikiwa na km laki na 20 kutoka japani ikifika unatakiwa utoe nini na nini ili liwe jipya tena
 
Hapa umecheza hii ina kila kitu,sunroof,heater seats nyuma na mbele,cooling box,shades,mziki mzuri ,Air purifier nyuma

Congratss bro![emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]

Ewaaaaaa..! Ongezea memory seat
wewe unaijua vizuri G-PACKAGE [emoji28]
Huwa nakutana na watu wanashangaa hii mbona iko tofauti na zao .kitu ambocho sina hapo ni sunroof tu[emoji2365]
IMG_4103.jpg

IMG_4098.jpg

IMG_4104.jpg
 
View attachment 2764105
Saloon Royal ndio hii boss hebu tupe vipi gharama za spare parts zake na ikiwa na km laki na 20 kutoka japani ikifika unatakiwa utoe nini na nini ili liwe jipya tena

Hapo kikubwa ni service ya engine hasa oil+oilfilter na itategemea na oil utayoweka

Mengine itategemea na gari yenyewe ikifika itakuwa ipo kene hali gani.so ni ngumu kujua exactly gari kama bado haijafika mkuu
 
Back
Top Bottom