fredo fred
JF-Expert Member
- Oct 17, 2015
- 748
- 1,615
- Thread starter
- #61
Linakimbia si mchezoHilo dude ni nomaaa aseee linakimbia htr
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Linakimbia si mchezoHilo dude ni nomaaa aseee linakimbia htr
Ukijua tu ni 3UR kaa mbali nayo, itakuchana mafupa.. mchana kweupe..3UR ni moto zaidi ya hiyo 3UZ
Zipo hybrid lakini zile ni S210 za kuanzia mwaka 2013.Crown Majesta hamna Hybrid hata moja.
Engine kuwa VVTi siyo ndo haitalamba mafuta.
Shughuli iko palepale.
1UR ndio zipo. Hii 3UR nilisoma kwenye blog moja wakadai pia ipo kwenye baadhi ya majesta.. ila sijaona majesta yenye hiyo 3UR hata niki search ya used sizoni, naishia ona 1UR na 3UZLabda 1UR ndo ipo kwenye majesta
Kuna za 1URKuna sehemu nilisoma Majesta zipo zenye 3UR ukiachana na hizi zenye 3UZ .. umeishwahi kutananazo zote kati ya hizo ?
Vvti lakini wese inakunywa kama kawaidaNi VVt-i lakini
[emoji23] kweli mguu lazima uwe mwepesiHuwe na majesta, mguu uwe mwepesi ili iweje mkuu [emoji3][emoji3].. labda kama upo posta.. ila upo kwenye njia imenyooka lazima mguu uende down.. umekuja juu kuna nyange nyange au maloli
Kweli hata mimi hizo 3UR sijawahi kuiona kwenye majesta1UR ndio zipo. Hii 3UR nilisoma kwenye blog moja wakadai pia ipo kwenye baadhi ya majesta.. ila sijaona majesta yenye hiyo 3UR hata niki search ya used sizoni, naishia ona 1UR na 3UZ
Crown athlete kama mafuta yalikuwa empty kabisa taa inaweza kuwaka....Alafu hata Mimi nilihisi jamaa ananipanga Tu pia yeye ni Dereva Tu na sio mmiliki wa gari.
Gari hata liwe jini kiasi gani hailewezi kuwaka taa Kwa mafuta ya tsh 30000 kutoka Tabata - Kariakoo
Moto wenyewe wa 1UR sio mbaya una 8 huo ?Kuna za 1UR
Labda wanafikiri taa ikiwaka maanake mafuta yameisha.Executive sedans kama hii Crown tank capacity yake ni lita 60 hadi lita 75. Kwa hiyo 30000/= ni zaidi kidogo ya lita 10 ambayo ni almost reserve. Kama wakati ameweka wese Tabata taa ilishawaka, basi siyo ajabu kuwa ikawaka by the time yuko Kariakoo.
Punguza sauti.Nashindwa kuelewa kwann madereva wengi sikuhizi wanatest speed Magari Yao Kwenye hii flyover ya kijazi?
Nahisi hili ndiyo eneo pekee Kwa barabara zetu za DAR ambalo unaweza kupata speed 140 Kwa gari ambalo linachanganya fasta
Aisee! Shida ni moja, limit 180kph.
😂😂😂Hiyo ndinga Bana juzi nilipaki karibu yake ikabidi niulize kuhusu fuel consumption Kwa Dereva aliyekuwa anaendesha akaniambia kuwa ameweka mafuta ya tsh 30000 kutoka Tabata Kimanga na alipofika Kariakoo kupaki na taa ilikuwa inawaka.
Kuna barabara roho itakuuma, kama unatoka kahama unaenda chato au geita.. barabara unamaliza 180.. na unakaa na hiyo 180.. unaishia kusikitika tu 😀😀😀Aisee! Shida ni moja, limit 180kph.
Utakuja muuzia Extrovert kwa bei ya kutupwa.. hata milion 8 sio mbaya😂😂😂
Kama huna mkwanja wa kueleweka unaitelekeza
Muachie naby atembelee.. 😀😀😀Hio gari itakuwa ya safari tu, mjini siwezi tembelea!
In horsepower ngapi?Ukijua tu ni 3UR kaa mbali nayo, itakuchana mafupa.. mchana kweupe..