Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuweka recors sawa BMW 5 Series ya 2007 ina 1620KG na Crown GRS180 ya 2007 ina 1610KG kwaio tofauti ni 10KG..German cars are usually more expensive and tend to be luxury or performance oriented (BMW, Mercedes, Audi, Porsche, etc.), while Japanese cars tend to be more budget friendly (Honda, Toyota, Mazda, Subaru, etc.) German cars are considerably more expensive than their Japanese counterparts. ... It all depends on your budget.
Hawana hoja hao jamaa.Bongo lala kabisa, sasa hiyo ndio haipati ajali!!!!? Paul Walker amefariki ktk ajali ya gari ipi?!!
Chanzo cha ajari kwa sehemu kubwa huchangiwa na muendesha chombo. Hakuna German wala Japan, mtu akiendesha vibaya chochote kinatokea. Hatuoni ajari nyingi za german car tanzania kwasababu zipo chache kulinganisha na gari za japanKuweka recors sawa BMW 5 Series ya 2007 ina 1620KG na Crown GRS180 ya 2007 ina 1610KG kwaio tofauti ni 10KG..
Vyanzo vya ajari nyingi ni madereva, ajari zinasozababishwa na vyuombo ni chache na hapo hakuna ubaguzi wa Japan or GermanHawana hoja hao jamaa.
Huyo dogo anaitwa Jimmy McMele na alikufa kwa ajali Mbezi Beach 2015 ndani ya hilo Benz lake likiwa na utitiri wa airbags ambazo hata hazikufumka.
View attachment 2273930
Kama ana haraka kihiivyo si apande ndege? 😅Mwenyewe unaona Sifaaa...kumbe ushamba wa Gari unakusumbua.
Wengi huwa wanachanganya. Being heavy and feeling heavy.Kuweka recors sawa BMW 5 Series ya 2007 ina 1620KG na Crown GRS180 ya 2007 ina 1610KG kwaio tofauti ni 10KG..
Anaeendesha hio crown hana elimunitakuwa km Piriton, hivi vigari vidogo sifuatilii tena nyuma, tangu ile ya Arusha nimenyoosha
watoto wanafuta visahani lakini wanachapwa, sasa mbele ukikutana na jamaa kaharibikiwa na gari inajua tu ni mzinga
cc Mshana Jr RRONDO nimeamini Germany si mchezo VW vijana wetu hata mkanda hawataki wakati wapo 180km/h
Afadhali kidogo nikiwa kwenye pikipiki huwa najiona nashirikiana kidogo na mashine japo kwa kule kuilaza kwa madaha! 🤡😅Tatizo wanafikiri wao ndio wanaokimbia kumbe ni gari linalokimbia na linaloanguka ni gari na wao ni wahanga wa gari kuanguka!
Inategemea na wingi wake hio factor haiwezi kufanya gari iwe na stabilityChukua mzee kama bado. Volvo XC90 ni tank. Hadi mwaka 2018 toka ianze kuuzwa UK, hakuna mtu aliyekufa kwa ajali akiwa kwenye hiyo gari.
![]()
Nobody has ever had a fatal crash in a Volvo XC90, according to Thatcham Research – Car Dealer Magazine
NOBODY has ever died in a Volvo XC90 in the UK since the first generation model launched in 2002, according to Thatcham Research. The vehicle safetycardealermagazine.co.uk
HALAFU KIJANA WA KIBONGO HAFUATILII HATA HIYO 220 NI 'MILES PER HOUR' AU 'KILOMETRES PER HOUR''?! ... YE MRADI KISAHANI KIISHE! 🤡😅Toyota za Kimarekani mwisho wa kazi speed 220 na hata ugonge jiwe itachubuka tu na kimkunjo kidogo..... hizi gari za mchina inagonga boda Boda inakanika vipande viwiliView attachment 1106081
Kwakuwa Noah ni ghali kuliko Mercedes-benz! 🤡😅Mimi na Noah yangu,max speed 80 kmph,ila nikinunua Mercedes Benz nitakuwa max speed itakuwa 180
That was the Comedian's angle! 🤡kama zipi hizo chief?
AMMA? ... Kumbe Mshana Jr ni DALALI? 😅Tatizo mleta mada kaleta stori kikanjanja kwamba sababu ya ajali ni Toyota
Kuna mtumiaji mwenzenu wa european cars huko juu anasifia kwamba gari yake ina tani 3 imepinduka na yeye ametoka salama kwaio ndo akaelezwa kwamba utofauti ni 10kgs ila sababu umeenda technical zaidi hapo inabaki kua hizo European cars kua superiorWengi huwa wanachanganya. Being heavy and feeling heavy.
Gari nyingi za class moja tofauti ya weight ni ndogo sana. Lakini European cars feel heavy than Japanese kwasababu ya zilivyotengenezwa suspension parts zake hence stable.
Vitu vingine pia vinasaidia mfano performance ya brakes, airbags,abs etc inatifauti Kati ya gari na gari na kwa uzoefu wangu Euro makes ziko superior.
Mzee unabisha kuhusu safety za Volvo’s passenger vehicles ama unataka kusemaje?Inategemea na wingi wake hio factor haiwezi kufanya gari iwe na stability
Ni sawa na kusema toyo hazina balance zinaua sana kuliko tvs 125...wakati unajua toyo ni nyingi kuliko tvs na wanaoendesha toyo huwa wamewehuka kwa hio ukachukua TVs ukijua zina stability
Hao wameona kama hakuna kifo kilirekodiwa na gari zao hivo wanatumia hio njia kama fursa...ukielewa vitu hvyo hutopata shida hata
Fungua hilo bongo lako limelala soma tena usipoelewa basiMzee unabisha kuhusu safety za Volvo’s passenger vehicles ama unataka kusemaje?
Factors zote hizo tunaziweka kwenye:TUONGEE UKWELI HAYA YAFUATAYO NDIYO SHIDA KUBWA
1. USHAMBA WA MAGARI
2. UVULANA/USICHANA/ UJANA /SIFA
3. UWEZO MDOGO WA KUENDESHA HIGHWAY AU TUSEME KWA BONGO NJIA ZA MKOANI
4. MIUNDOMBINU/BARABARA FINYU NA KONA ZA GHAFLA
5. UZEMBE WA MADEREVA/ MAZOEA/UCHOVU
6. POMBE WAKATI WA SAFARI/AU KUAMKA NAZO
7. MAGARI MAKUBWA YA MIZIGO MENGI MABOVU NA HAWAFUATI WALA KUZINGATIA SHERIA, WALA KUJALI WATUMIAJI WENGINE
8. TRAFFIC WANAKULA SANA RUSHWA, NA WANAKOMOA MADEREVA WASIO TAYARI KUTOA RUSHWA
9. UKIWA SAFARINI JITAHIDI UWE NA MWENDO WA KIASI MFANO MAXIMUM 120KM/HR
SawaFungua hilo bongo lako limelala soma tena usipoelewa basi