Toyota hizi...!

Toyota hizi...!

RRONDO hii kweli kichapo FC ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ upo sahihi kumiliki Golf GTI! Huu udhalilishaji wa mchana kweupe 4GR imegota 180KPH ila mwenye 260KPH anaendelea kuchanja mbuga
Hii kwi kwii.. kademu kanashobokaa akili zake tayari zilihamia kwa jamaa wa golf... kaliwish kangekuwa huko ...๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
 
nitakuwa km Piriton, hivi vigari vidogo sifuatilii tena nyuma, tangu ile ya Arusha nimenyoosha
watoto wanafuta visahani lakini wanachapwa, sasa mbele ukikutana na jamaa kaharibikiwa na gari inajua tu ni mzinga
cc Mshana Jr RRONDO nimeamini Germany si mchezo VW vijana wetu hata mkanda hawataki wakati wapo 180km/h
Wamechapwa vibaya, alafu wamesomeshwa namba.. heshima muhimu.. jamaa wa golf angemtaka hata na huyo demu wao angemchukua.. maana mtoto tayari alilowa kwa kuchezi mziki wa msela
 
Juhudi zimeanza 2021 ndani ya miaka 3 nikiwa na afya na uzima kwa uweza wa Juhudi zangu na Baraka za Mungu chuma itakua uwani model yoyote ile.
Golf R edition itakufaa zaidi.. utawapasua sana vifua wanao kufata fata ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
 
Nakuombea ila fanya miezi 21
Na mie niombee nataka hii ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ..

20210115_113343.jpg
 
Back
Top Bottom