Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka ikae road ni 200m+
Ni trip 2 tu Pakistan mbona?
Full pics please
Full pics please
Hio 320km/h ni mbwembwe tu za watengenezaji hizo dingiii,hata Golf Gti ina speedometer ya 300km/h lkn limit yake ni 250km/h.Umeona kibati cha R edition kinapuyanga hadi 320.. hizi crown sijui taka tala gani lazima wamyweee tu... wakupishe mwanaume
Extrovert
View attachment 1677984
Unaweza ukawa DED ukavuta fastaBalaa tupu dadeki hiyo,,,tutakula kwa macho
Kwaiyo inaenda hadi ngapi ?Hio 320km/h ni mbwembwe tu za watengenezaji hizo dingiii,hata Golf Gti ina speedometer ya 300km/h lkn limit yake ni 250km/h.
No way on earth gari yenye 292HP(golf R 2016) ikafikia top speed ya 320km/h,haiwezekani hio boss.
Wameshaitest pale Autobahn kwa sana tu ikawa inaishia 265km/h.Kwaiyo inaenda hadi ngapi ?
Hio hatari kubabake🤣Umeona kibati cha R edition kinapuyanga hadi 320.. hizi crown sijui taka tala gani lazima wamyweee tu... wakupishe mwanaume
Extrovert
View attachment 1677984
Sio mbaya hiyo 265 bado kubwa sanaaa ...Wameshaitest pale Autobahn kwa sana tu ikawa inaishia 265km/h.
Hahah hio ni kubwa sana,hapo power to weight ratio inaibeba ukiweka na transmission yake DSG ina gear 7 inavyochanganya fastaaa huishiki barabarani ng'ooo.Sio mbaya hiyo 265 bado kubwa sanaaa ...
Au sio ndugu yanguuu [emoji2][emoji2][emoji2]
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] wengine lift inatutosha mkuu.Ngoja nitafute pesa nimnunulie Bushmamy [emoji846][emoji846]
Kwaiyo hiyo ajali imesababishwa na mjapan...bongo lalaNdo maana naomba Mungu abariki kazi za mikono yangu ili kupata money niachane na mjapani nihamie kwa mjerumani!
Japo all in all siku zikifika bwana anamtwaa mja wake bila kujali chombo ni cha mjapani au la!
RIP young blood!
Dawa ni kununua Toyota yenye stability ya treni na spidi ya ndege, namaanisha mnyama, sio hizo karatasi nyepe
Bongo lala kabisa, sasa hiyo ndio haipati ajali!!!!? Paul Walker amefariki ktk ajali ya gari ipi?!!