Hakuna gari kama hiloDawa ni kununua Toyota yenye stability ya treni na spidi ya ndege, namaanisha mnyama, sio hizo karatasi nyepesi
Kama hakuwa speed kubwa kuna chances za kuepusha ajali... Ila hizo crown zione hivi hivi.. Ukishajifungia humo ndani usipokuwa makini......
SaaanaKutembea kwa miguu kuna faida sana..
Kila mtu ana starehe yake mkuu, fikiria kuna wanao ona kuwa na mademu ni starehe zao, kuna wanywaji wa pombe ni starehe zao....Mwenyewe unaona Sifaaa...kumbe ushamba wa Gari unakusumbua.
aisee huyu aliingia chini ya lori ama nini...mbona kapunyuliwa juu tu!!!!?Si kwamba nazikandia hizi gari za kijapan la hasha. Nimewahi kuzimiliki Chaser mayai na balloon GX90. Kila moja imevuma kwa nyakati zake. Zikisifika kwa wepesi mwendo (kuchanganya haraka) kiyoyozi kama Greece land. Zimepita model nyingi.
Tunamalizia enzi za Harrier TAKO LA NYANI zimechuja haraka baada ya nyingi kupiga chini.
TOYOTA crown bado iko juu lakini nayo inaendelea kuchinja watu. Simlaumu mjapani katengeneza kwa matumizi yake na taratibu zake. Huku hatuzingatii hili kabisa
Mwisho tunaishia kulaumu na kusema TOYOTA hizi lakini pamoja na kuwa na viwango vidogo vya usalama kulinganisha na gari za ulaya bado tatizo ni letu sisi wenyewe.
ELIMU JUU YA VYOMBO VYA MOTO hasa gari nyepesi za kijapani tumepoteza damu changa nyingine Kabuku. Damu ya Rchunga... Rip [emoji1019] View attachment 1105974View attachment 1105975View attachment 1105976
kisahani kinashawishi balaa hasa kikiwa na tarakimu kubwa kubwa [emoji3]Mzuka wa kumaliza kisahani
leseni zenyewe siku hizi za kupigiwa simu na kwenda kuchukua unategemea hizo sheria na alama za barabarani watazijulia wapi.Pole kwa waliofikwa na hayo. Ukiangalia siku hizi madereva wengi wanajua kukanyaga mafuta na break basi. Sheria na alama za barabarani hawazijui, na wanaozijua baadhi hawazifuati kabisa, achilia mbali kujua uwezo wa gari na namna ya kulihandle barabarani ndio shida kubwa zaidi.
kwa huo muda ambao umetoka sidhani kama utafanikisha kufika saa kumi tunduma, haiwezekani.Ajali ya mtu mwingine haiwezi kunifanya niongope kukanyaga mafuta..... Kesho asubuhi na safari ya Mbeya+Tunduma nikitoka Dar saa kumi na mbili asubuhi nataka saa kumi niwe Tunduma.... Nimesha andaa na hela ya faini kabisa ya matrafiki
kama zipi hizo chief?Dawa ni kununua Toyota yenye stability ya treni na spidi ya ndege, namaanisha mnyama, sio hizo karatasi nyepesi
[emoji26][emoji26]ukisema ujitembelee zako kwa miguu tuu kuepuka hayo,bado mjapani anaweza akaacha njia akakufuata hukohuko uliko...
tatizo hawaishi wao tu...wanatumaliza na sisi watembea kwa miguu.Vijana wabishi na ujuaji mwingi. Wakiwa kwenye hayo mabati wanajiona wamemaliza. Acha waishe tu
Asante Kwa niabaPoleni sana
hahaha ati nini...sumaku!! [emoji3]Hahah, hizi zinasumaku kwenye tyres..
msilete upotoshaji hapa chali wa crown yeye ndo kagongwa chakushangaza timu Bmw wamemgeuzia kibao na kuisakama Toyota bila sababuleseni zenyewe siku hizi za kupigiwa simu na kwenda kuchukua unategemea hizo sheria na alama za barabarani watazijulia wapi.
😔😔tatizo hawaishi wao tu...wanatumaliza na sisi watembea kwa miguu.
sawa lkn tunaongelea general kuhusu tabia za vijana huko barabarani na toyota/bmw/audi/benzi zao.msilete upotoshaji hapa chali wa crown yeye ndo kagongwa chakushangaza timu Bmw wamemgeuzia kibao na kuisakama Toyota bila sababu