RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Mkuu sio mambo ya kucheka haya...vijana wanacheza na vifo au ulemavu wa kudumu[emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu sio mambo ya kucheka haya...vijana wanacheza na vifo au ulemavu wa kudumu[emoji23][emoji23][emoji23]
DunlopsGumboots...!!!
Mimi natumia usafiri wa fisi unanishaurije??Nakushauri tafuta gari za ulaya
Ajali ya mtu mwingine haiwezi kunifanya niongope kukanyaga mafuta..... Kesho asubuhi na safari ya Mbeya+Tunduma nikitoka Dar saa kumi na mbili asubuhi nataka saa kumi niwe Tunduma.... Nimesha andaa na hela ya faini kabisa ya matrafiki
Kuna watu wanafikiri kifo kimeumbwa kwa waendesha magari speed kubwa, hawajui hata wao watakufa siku ikifika...Kila mtu atakufa kwa wakati wake na sababu ya kifo hicho amna anaejichagulia so ukifahamu hayo huna haja ya kuwa muoga
BMW kwa barabara zetu hizi ukienda sana ni 200 mpaka 210.... Hii speed nilishawahi kujaribu mara moja tu tena sikuenda zaidi ya km 10 nikarudi 180
haaha!! Mkuu niombee mema aisee!!! Bado natembea mkuu Mbeya nimesha ipita bado mwendo wa nusu saa nifike tundumaRest in peace in advance, au umefika salama?
Hapo possibility ni mashine ilipiga mzinga ikiwa kwenye mwendo kasi na immediately ikadaka moto...ukiicheki imepinduka upside down kwa hiyo inaonekana kama walikuwa wamejeruhika ilikuwa vigumu kujitetea...ukiendesha mkoani ukaona vijana wa private wanavyoamka na magari utadhani vichaa
Apumzike kwa amanAiseeee, sikua najua kua aina ya gari inaweza kua suitable baadhi ya sehemu na sehemu nyingine isiwe. Anyway Bwana anatoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe
Hata best car safety features zina limit yake ya intensity katika ajali.Kutokana shuhuda zangu, lemme put this out there; hata ukiwa na za ulaya, ukiendesha 'kipumbavu', unazikwa vile vile. Halafu gari inatengenezeka, mashine tunairudisha barabarani.
Hata best car safety features zina limit yake ya intensity katika ajali.
European cars esp. German zinakupa better chance of survival. Ila drive responsibly.
Just a tip.
Dharau sasa mnazidisha watu wa Germany car.... Wacha tubanane humu humu toyota...ni maisha magumu tu tuliyonayo na hamu ya kutaka kuendana na dunia kwa kuwa na ka usafiri ila kununua gari ya mjapani ni sawa na kununua vifaa vya ndani vya mchina